Wanaojua kuhusu utumishi

Msaada. Mwenye uzoefu na interview za afisa tarafa tunaomba kushare jamani.
Mm nilifanya usaili wa afisa tarafa,na nilifaulu nikapangiwa ktk mkoa fulan hv lkn sikwenda baada ya kupata mchongo sehemu nyingine..mwenye kiu na hiyo nafasi anipim...nadhan maswali ni yaleyale..
 

Acha kupotosha watu,,siku hizi hazipo kisiasa..ndo maana wanataka graduate..
 
Last edited by a moderator:
duh.......uchakachuaji unafanyika popote pale........cha msingi ni kuomba mungu tu...
 
Jamani naomba mningalizie majina yenye LUKIKO kwenye category za afisa tarafa,kilimo na mifugo.
pamoja waungwana.
 
Wanaweka ratiba mtu mmoja intaview 2 afu sa moja na sa tatu wakati hyo ya sa moja unakuta wanachelewa kuanza.msaada jamani.

wanakupa nafasi ya kufanya pepa zako zote bila was was
ukifika wasiliana na msimamizi wako
 
Habar zenu wadau. Jumamosi nilifanya usaili pale mwalimu nyerere. Maelekezo tuliopewa ni kwamba usaili wa mazungumzo ni tarehe 10/06. Lkn mbona majina ya waliofaulu usaili wa kuandika hayajatoka mpaka sasa. Mwenye uzoefu anijuze plz. wanatoaga majina muda gani?
 
Ndugu mnaotakiwa si zaidi ya 150 usaili mlifanya zaidi ya watu elfu moja we mwombe tu Mungu jina lako liwepo maana awamu ya pili hamtaweza kuitwa wote
 

Fungua majina, copy & paste coz haya hayafunguki kwenye cm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…