Wanaojua jinsi ya kujiunga na paypal hapa bongo

Wanaojua jinsi ya kujiunga na paypal hapa bongo

MR LINKO

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
3,034
Reaction score
3,544
Kama kichwa cha habari hapo juu kuna mahali nimepiga bingo za kufanya kazi online sasa wamenipa utaratibu wa kutumia paypal kwenye malipo sasa kwa hapa bongo sijajua utaratibu wa kupata hiyoo huduma kwasasa naombeni msaada kwa wanao jua. Plz
 
nenda website yao fanya usaili, rahisi sana
 
Aisee bora umeanzisha huu uzi maana nimejaribu kujiunga lakini sijafanikiwa...pale mwishoni kwenye kuchagua eneo unapotokea hakuna Tanzania na ukijaza za US nahisi usalama unakuwa mdogo
Mnaojua mtujuze jamani
 
Kweli Tunaomba mtupe na kutuelewesha kila kitu kuhusu kujiunga na PayPal hapa Tanzania hasa Eneo unalotoka nini tujaza wkt Tanzania haipo?
 
Ingia kwenye internet then search hiyo paypal page... register kama kawaida... kuna info kuhusu bank account yako .. utajaza na utajaza tarakimu tatu ambazo znaonekana kwenye either visa au mastercard atm card....
 
Ingia kwenye internet then search hiyo paypal page... register kama kawaida... kuna info kuhusu bank account yako .. utajaza na utajaza tarakimu tatu ambazo znaonekana kwenye either visa au mastercard atm card....


Duh - Halafu unawapa hao jamaa hizo details zote online?? Zile namba tatu ambazo ziko nyuma kwenye Visa au Mastercard ndio Password yenyewe. Sasa ukiwapa hao jamaa ni sawa sawa umewapa account yako wafanye watakavyo - watakuacha kweli hao jamaa kuipiga hiyo account yako?? Kweli mambo mengine huwa tunajitakia wenyewe..........
 
Duh - Halafu unawapa hao jamaa hizo details zote online?? Zile namba tatu ambazo ziko nyuma kwenye Visa au Mastercard ndio Password yenyewe. Sasa ukiwapa hao jamaa ni sawa sawa umewapa account yako wafanye watakavyo - watakuacha kweli hao jamaa kuipiga hiyo account yako?? Kweli mambo mengine huwa tunajitakia wenyewe..........
Mkuu mimi nimefanya hivyo na ninaendelea kununua bidhaa nyingi nje kupitia paypal....
Hawa jamaa wa paypal sio matapeli... hata ukienda kwenye bank yako husika ukiwaambia kwamba unataka account yako itumike kufanya malipo online wata suggest utumie paypal...
Paypal watakuwa wanakukata charge yao ya kuwatumia... and it is very easy kuitumia
 
Mkuu mimi nimefanya hivyo na ninaendelea kununua bidhaa nyingi nje kupitia paypal....
Hawa jamaa wa paypal sio matapeli... hata ukienda kwenye bank yako husika ukiwaambia kwamba unataka account yako itumike kufanya malipo online wata suggest utumie paypal...
Paypal watakuwa wanakukata charge yao ya kuwatumia... and it is very easy kuitumia

Labda hatujaelewena - Paypal ni site ambayo unaitumia kufanya malipo - lakini sio umpe mtu mwingine hizo details zako. Hata mimi huwa nalipa vitu vingi - kwa kulipia vitu hao paypal - lakini sio mtu mwingine umpe hizo details zako; maana anaweza kutumia kulipa kama unavyotumia wewe vile vile - hasa online. Atashindwa tu kusafiria - amaana watamuuliza atoe ile kadi.
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kuna mahali nimepiga bingo za kufanya kazi online sasa wamenipa utaratibu wa kutumia paypal kwenye malipo sasa kwa hapa bongo sijajua utaratibu wa kupata hiyoo huduma kwasasa naombeni msaada kwa wanao jua. Plz
Njoo BankABC Branch yoyote, kafungue Account ya Online Payment. Watakupa maelekezo yote. Ni Bank hiyo tu ndo wanatoa Huduma ya Malipo ya Online.
 
Nimeingia katika website nikiwa na nia ya kununua service manual ya kifaa fulani, cha ajabu wanataka ujisajili wako pamoja na visa au mastercard yako.

Sasa basi nimeingiwa na shaka kwani naona kwa kufanya hivyo jamaa wanaweza wakajipakulia mboga kiasi wanachotaka,ushauri kama mtu anao!
 
Ingia
Www.paypal.com
Register as new user
Hiyo ni hatua ya kwanza
Hatua ya pili fungua acount benk
Yenye kutumia mastercard
Kwa mfano mm natumia ya crdb ambapo ukishapata mastercard unajaza fomu ya kuenable card yako kufanya miamala ya online
Then watakutukia secret code na utaratibu wa kuenable card yako online then unaende kwenye paypal then unaad master card watakuuliza card number utaziingiza the security code uko upande wa pili wa kard yako the unaenable watakuambia ukubali kuruhusu test deduction ya us 2$ ambayo itakatwa mwenye hiyo account yako the unaweza kuitumia
Raha ya paypal ni kuwa unaweza ukamtumia mtu mwingine anayetumia paypa hela kwenye email yake ya paypal
Na pia unaweza kutumia kununulia vitu online shoping mal kama ebay na amazon
Ila inakuwa pouwa kama una smartphone ukadownload na app yake itakuwa inakutunzia kumbukumbu
 
Ingia kwenye internet then search hiyo paypal page... register kama kawaida... kuna info kuhusu bank account yako .. utajaza na utajaza tarakimu tatu ambazo znaonekana kwenye either visa au mastercard atm card....
Inabidi usajiri kwanza kadi yako (iwe visa au mastercard) kwenye benki husika iweze kufanya manunuzi mtandaoni (online purchase). Baada ya hapo fuata ushauri huo wa 'little hulk'.
 
Njoo BankABC Branch yoyote, kafungue Account ya Online Payment. Watakupa maelekezo yote. Ni Bank hiyo tu ndo wanatoa Huduma ya Malipo ya Online.
Benki karibu zote zinazote 'visa/ mastercard' husajiri kununua mtandaoni
 
Inawezekana ukiwa na crédit card
Hata 'debit card' kama benki husika imeisajiri kufanya manunuzi/malipo online utaitumia bila hata kupitia paypal. Pia ukiwa nje ya Tanzania unaweza kuitumia kwenye ATM au maduka yanayokubali hizo card.
 
wanakata sh ngap hawa paypal ukijisajil kwao?
 
Back
Top Bottom