Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Kama kuna wana CCM wanaosaidia kuiangusha Chama chao bila waokujua ni
- Lusinde
- Mwigulu
- Wasira
- Komba
- JK
- Nape
- Mukama
Nianze kama ifuatavyo
Lusinde
Mwigulu
John Komba
Mukama
Nape
JK
Hawa kwa asilimia kubwa ndio watakaoiondoa CCM madarakani kulingana na wasifu wao. Wapo wengine lakini hawa ni zaidi.
- Lusinde
- Mwigulu
- Wasira
- Komba
- JK
- Nape
- Mukama
Nianze kama ifuatavyo
Lusinde
- kutete CCM muda wote
- Kutukana wapinzani
- Kusafau kuchangia bajeti
- kutetea serikali
- Kutukana viongozi wa CDM
Mwigulu
- Kutokujua kwanini yuko bungeni
- lugha ya matusi
- mtaalam wa uchumi lakini kazi ni kutetea serikali
- Kujifanya anajua mabo yote
- Kejeli nyingi kwa wapinzani
- Jimbo lake ni masikini sana
John Komba
- Mtetezi wa CCM
- Mlalamishi kuwa serikali imewasahau
- Kukashfu wapinzani
- Kulala bungeni
- kuhema vibaya wakati wa kuchangia
Mukama
- Propaganda
- Mpayukaji
- Mchonganishi na fitina kwa wenzake
- Mdini na mkabila
Nape
- Hajijui
- Maslahi binafsi
- mpayukaji
- Matusi kwa watu kutumia uhuru wa kidemocrasia
- Kutumiwa na wakubwa kufikia malengo yao.
JK
- Dhaifu kiongozi
- hataki lawama
- Mtu wa makundi
- Usingizi bungeni
- Propaganda
- Ubabe
Hawa kwa asilimia kubwa ndio watakaoiondoa CCM madarakani kulingana na wasifu wao. Wapo wengine lakini hawa ni zaidi.