Wanaohitaji viatu kutoka Korea Tshs. 220,000

Wanaohitaji viatu kutoka Korea Tshs. 220,000

Ni viatu aina gani?
Raba mtoni, Four angle au Boots?!?!
 
Ni viatu aina gani?
Raba mtoni, Four angle au Boots?!?!

Ni mchanganyiko... Ni viatu vzuri

unaweza kuta raba hasa zile za converse. Tena vingi unaweza kuvikuta kama havijawahi kuvaliwa

mchanganyiko mwingine ni viatu vya ofisini, sandles, viatu vya mpira n.k
 
Mkuu ungetuwekea picha tukaona kidogo ingetupa motisha wa kuja kufanya biashara nawe pls picha basi

je na nguo huhuzi kwa mabelo ?
ni mchanganyiko... Ni viatu vzuri

unaweza kuta raba hasa zile za converse. Tena vingi unaweza kuvikuta kama havijawahi kuvaliwa

mchanganyiko mwingine ni viatu vya ofisini, sandles, viatu vya mpira n.k
 
Mkuu ungetuwekea picha tukaona kidogo ingetupa motisha wa kuja kufanya biashara nawe pls picha basi

je na nguo huhuzi kwa mabelo ?

Samahani ndugu... Picha nikijaribu zinakataa nicheki kwa watsap

nguo hapana

tunadili na viatu tu.. Vya kike.. Kiume na watoto
 
Ndugu
Tunapenda kuwataarifu kuwa tunaendelea kuuza viatu vya mtumba kutoka china na Korea
Viatu vyetu ni BORA na NAFUU na kwa SASA MZGO UNAINGIA HARAKA

BEI ZETU MPYA

A. GRADE YA KAWAIDA

1. Viatu vya kike belo 1 tshs. 170,000 (pair 65 hadi 80)
2. Viatu vya kiume belo moja tsh 250,000
(Pair 50 hadi 55)
3. Mchanganyiko (vya kiume na kike) TSHS 250,000 (pair 50 had 55)

B. MZIGO MSAFI ZAIDI (grade 1 A na B)

Bei zake

1. Grade one A (VYA KIUME) tshs 500,000 inakuwa na pair 40 hadi 50

2. Grade One B (VYA KIUME) TSHS 400,000 (pair 40 hadi 50)

3. Viatu vya watoto tshs 180,000 (pair 51 hadi 70)

4. MIXER (mchanganyiko) Grade One A tshs. 400,000 pair 50 au zaidi

5. Mixer Grade one B tsh. 250,000 pair 50 au zaidi

6. Mixer grade One C Tshs 160000 PAIR 50 au zaidi

NB: viatu vyetu vyote ni vya mtumba na vya kisasa na sample tofautitofauti

KWA SASA TUNAPATIKANA TANDIKA TRASFOMA

WEKA ODA YAKO SASA KWA KUPIGA SIMU NAMBA 0758176058 pia unaweza kunicheki kwa whatsap kwa namba hyohyo

KUMBUKA WATEJA NI WENGI NA TUNAUZA KWA ODA TU
 
Mkuu hujui kuweka picha? Nikupm namba yangu unitumie picha?

Viatu vya mtumba haviko costant ktk design naweza kukutumia design hii ukanunua belo unakutana na design nyingne

Hata hvyo nichek kwa hyo namba wasap nikutumie baadhi ya sample

Nb
SAMPLE HAIKO COSTANT
 
Mkuu hujui kuweka picha? Nikupm namba yangu unitumie picha?

ImageUploadedByJamiiForums1444736710.589501.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1444736739.156175.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1444736789.846683.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1444736857.064403.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1444736880.314607.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1444736918.532635.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1444736939.199590.jpg
 
Back
Top Bottom