Nimekuwa nikifuatilia hamahama ya wanasiasa na kila anayehama amekuwa akitoa sababu mbalimbali. Kila mtu ana haki ya msingi ya kujiunga na chama chochote cha siasa anapovutiwa sera, katiba na Itikadi!!
Ukifuatilia wanasiasa wengi Tanzania waliohama vyama mara Nyingi wamekuwa hawana hoja au sababu za msingi za kufanya hivyo!
Historia inaonesha kuwa wanasiasa wengi waliohama vyama hawakufuata itikadi ya chama husika zaidi ya maslahi binafsi! Itikadi ni IMANI! Na ukiona mtu anakana Imani yake kwa vipande vya pesa hawezi kuwa kiongozi bora!!
Wanasiasa waanze kupambana kubadilisha mfumo au kama kitu hakiendi Sawa kwenye vyama vyao Ndio maana wako humo ndani! Wanawajibika moja kwa moja kubadilisha au koboresha mfumo uliopo hasa kwa kujenga ushawishi, hoja na kuandika mpaka ueleweke! Kuhama chama sio suluhisho! Maana hata huko unapohamia kuna mapungufu Mengi mno! Je ukiyakuta hayo mapungufu Utahama tena? The best way kama haujaona chama Chenye Itikadi ya mlengo wako ni kuanzisha chama chako halafu uangalie utakavyoshangaa!
Mfano mzuri ni Zitto Kabwe, alikuwa na ushawishi ndani ya Chadema, wafuasi wake akiwemo Prof. Kitila Mkumba, Samson Mwigamba, Anna Mghwira, Alberto Msando, leo hii wamemuacha Zitto peke yake na ACT wazalendo.
Leo tunaambiwa ndani ya vyama kuna unyanyasaji wa kijinsia na kingono tena na sio watoto! Walikuwa wapi kuwa mfano miaka yate minne wakiwa wabunge hawakutoa taarifa mbaya hivyo!
Wengi wanasema kuna matumizi mabaya ya fedha! Lkn CAG hakuainisha hayo kwenye taarifa yake! Unasema Mwenyekiti anaongeza chama kibabe! Tujiulize Kauli za Mwenyekiti wa Ccm kwa wanachama wake kuwa walioshangilia wanaimani na Lowasa (2015) angekuwa yeye Mwenyekiti nusu ya wajumbe wasingerudi! Mwenyekiti anafuatilia hata simu za wanachama wake! Leo atleast wewe unapewa ujasiri wa kumsema vibaya Mbowe hadharani! Huwezi kufanya hivyo ndani ya CCM.
Mwisho, lazima tukubaliane kuwa ndani ya Chama au any institution lazima kuwe na Nidhamu kwa wanachama! Hata kama haukubaliani na wajumbe walio wengi ndani ya kikao halali!! Collective responsibility ni lazima uunge Mkono na kuadvocate maamuzi yaliyopitishwa na chama!
Ukifuatilia wanasiasa wengi Tanzania waliohama vyama mara Nyingi wamekuwa hawana hoja au sababu za msingi za kufanya hivyo!
Historia inaonesha kuwa wanasiasa wengi waliohama vyama hawakufuata itikadi ya chama husika zaidi ya maslahi binafsi! Itikadi ni IMANI! Na ukiona mtu anakana Imani yake kwa vipande vya pesa hawezi kuwa kiongozi bora!!
Wanasiasa waanze kupambana kubadilisha mfumo au kama kitu hakiendi Sawa kwenye vyama vyao Ndio maana wako humo ndani! Wanawajibika moja kwa moja kubadilisha au koboresha mfumo uliopo hasa kwa kujenga ushawishi, hoja na kuandika mpaka ueleweke! Kuhama chama sio suluhisho! Maana hata huko unapohamia kuna mapungufu Mengi mno! Je ukiyakuta hayo mapungufu Utahama tena? The best way kama haujaona chama Chenye Itikadi ya mlengo wako ni kuanzisha chama chako halafu uangalie utakavyoshangaa!
Mfano mzuri ni Zitto Kabwe, alikuwa na ushawishi ndani ya Chadema, wafuasi wake akiwemo Prof. Kitila Mkumba, Samson Mwigamba, Anna Mghwira, Alberto Msando, leo hii wamemuacha Zitto peke yake na ACT wazalendo.
Leo tunaambiwa ndani ya vyama kuna unyanyasaji wa kijinsia na kingono tena na sio watoto! Walikuwa wapi kuwa mfano miaka yate minne wakiwa wabunge hawakutoa taarifa mbaya hivyo!
Wengi wanasema kuna matumizi mabaya ya fedha! Lkn CAG hakuainisha hayo kwenye taarifa yake! Unasema Mwenyekiti anaongeza chama kibabe! Tujiulize Kauli za Mwenyekiti wa Ccm kwa wanachama wake kuwa walioshangilia wanaimani na Lowasa (2015) angekuwa yeye Mwenyekiti nusu ya wajumbe wasingerudi! Mwenyekiti anafuatilia hata simu za wanachama wake! Leo atleast wewe unapewa ujasiri wa kumsema vibaya Mbowe hadharani! Huwezi kufanya hivyo ndani ya CCM.
Mwisho, lazima tukubaliane kuwa ndani ya Chama au any institution lazima kuwe na Nidhamu kwa wanachama! Hata kama haukubaliani na wajumbe walio wengi ndani ya kikao halali!! Collective responsibility ni lazima uunge Mkono na kuadvocate maamuzi yaliyopitishwa na chama!
