nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 648
Huyu mzee kwa misaada ya mabilioni aliyokua anatoa kwa jamii ina maana ana pesa sana, KUNA KIPINDI TULISIKIA BAADHI WAKISEMA HALIPI WAFANYAKAZI WAKE VIZURI AU MALIMBIKIZO YA MSHAHARA, JE HII NI KWELI?
je hii inachangiwa na nn au ni masharti ya waganga?
Unawezaje kusaidia watu wa nje wengi huku watu wanaoleta ustawi na kuendeleza kampuni huwalipi vizuri au wana malimbikizo ya mishahara?
je hii inachangiwa na nn au ni masharti ya waganga?
Unawezaje kusaidia watu wa nje wengi huku watu wanaoleta ustawi na kuendeleza kampuni huwalipi vizuri au wana malimbikizo ya mishahara?