Wanaochepuka wananishangaza sana

Wanaochepuka wananishangaza sana

zagarinojo

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
2,622
Reaction score
2,855
Yani sijui michepuko itakuja kuisha lini. Hata wanaochepuka wananishangaza sababu za wao kufanya hivyo.

Kibaya zaidi Unachepuka na mwanamke ambaye hata mke wako anamzidi kiwango mbali Sana. Hata yeye akimuona anaweza kujiuliza mara mbili mbili "Ni Yeye"kweli yule.

Yani ni bora hata uchepuka halafu mchepuko awe chombo kweli hata watu wakimlinganisha na wako waseme ni heri uchepuke.

Sasa unachepuke na mchepuko wenyewe low quality hauna kiwango unamuacha mke wako wife material nyumbani.
 
Unanipa shida kujua kma huu uzi uliendaka ni mtu mzima au mtoto!!

Naon akili yako ushaiaminisha kuwa kila anaechepuka basi anachepuka sababu ya tamaa but sio kwel...

Kuna mambo meng san yanasababisha mtu achepuke, wakti wako ukifika utaelewa kirahisi...
 
Hamia CCM utakutana na michepuko inayohubiri kuwa haitaki michepuko....kama hili hapa
 

Attachments

  • IMG-20191012-WA0054.jpg
    IMG-20191012-WA0054.jpg
    56.4 KB · Views: 8
We jamaa inawezekana ama hujawahi kabisa kuwa na mwanamke, au kama unae huyo ndio wa kwanza so hujui unachokiongea.

Kama umewahi kuwa na wanawake tofautitofauti, hebu tuambie je ina maana kila mwanamke unaekua nae ni mkali kuliko wote waliopita? Kama sivyo, sasa unashangaa nini mtu mwenye mke bomba kutoka na asiye mkali kama mkewe? We hujui kila mwanamke ana utam wake, na utam hauna uhusiano wa moja kwa moja na muonekano wa mtu? We vipi bana..? Subiri ukue kijana utakuja kuchepuka mpaka ushangae mwenyewe.
 
We jamaa inawezekana ama hujawahi kabisa kuwa na mwanamke, au kama unae huyo ndio wa kwanza so hujui unachokiongea.

Kama umewahi kuwa na wanawake tofautitofauti, hebu tuambie je ina maana kila mwanamke unaekua nae ni mkali kuliko wote waliopita? Kama sivyo, sasa unashangaa nini mtu mwenye mke bomba kutoka na asiye mkali kama mkewe? We hujui kila mwanamke ana utam wake, na utam hauna uhusiano wa moja kwa moja na muonekano wa mtu? We vipi bana..? Subiri ukue kijana utakuja kuchepuka mpaka ushangae mwenyewe.

Ingekuwa group ya Whatsapp jamaa angeshakimbia zamani

Kumpangia mtu mkubwa kitu cha kufanya ni ngumu sana Wakuu mnamshukia jamaa jumla jumla
 
Its JF now days that people no longer comment about the thread but they aim at criticizing the thread starter
 
hatukushangazi kabisa hata mimi nilipokuwa mdogo niliwashangaa sana wanachepuka ila sasa hivi mimi ndio wananishangaa subili wakati wako
 
Unanipa shida kujua kma huu uzi uliendaka ni mtu mzima au mtoto!!

Naon akili yako ushaiaminisha kuwa kila anaechepuka basi anachepuka sababu ya tamaa but sio kwel...

Kuna mambo meng san yanasababisha mtu achepuke, wakti wako ukifika utaelewa kirahisi...
Umemjibu vyema
 
Suala la kuchepuka ni siri nzito za ndoa. Unaweza kukuta mtu ana miezi 6 hajaonjeshwa tunda la ndoa..
 
Haina haja ya kuandika mengi, ukikua utayashuhudia mwenyewe
 
Back
Top Bottom