IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,738
- 7,083
Wana MMU habarini,
Iam very dissapointed nimezaa na girlfriend wangu anaitwa Yveti wazazi wake mmoja ni,mtanzania ila mama ake ni mnyarwanda na wazazi wake wote wanaishi rwanda(wana biashara zao) nilikutana,nae school of medicine sasa nimezaa,nae cha ajabu wazazi wake wanataka nimuite jina Jezebeli mtoto ana siku 14 bado tunazozana maana mimi sitaki hilo jina.
Maana lina mreflect mtu hatari sana kwenye bible ambaye alikua mwanamke katili muuaji anaejipenda for sure sijawai kuona mtu anamuita mwanae Jezebel kwa sasa hivi tumeamua kumpa jina baby kwa muda hadi tuafikiane ila wao hawataki kuchange mawazo.
Sasa naombeni mnishauri hivi ni mindset yangu tu kuhusu jina ama nipo sahihi nikubali hilo jina.
Iam very dissapointed nimezaa na girlfriend wangu anaitwa Yveti wazazi wake mmoja ni,mtanzania ila mama ake ni mnyarwanda na wazazi wake wote wanaishi rwanda(wana biashara zao) nilikutana,nae school of medicine sasa nimezaa,nae cha ajabu wazazi wake wanataka nimuite jina Jezebeli mtoto ana siku 14 bado tunazozana maana mimi sitaki hilo jina.
Maana lina mreflect mtu hatari sana kwenye bible ambaye alikua mwanamke katili muuaji anaejipenda for sure sijawai kuona mtu anamuita mwanae Jezebel kwa sasa hivi tumeamua kumpa jina baby kwa muda hadi tuafikiane ila wao hawataki kuchange mawazo.
Sasa naombeni mnishauri hivi ni mindset yangu tu kuhusu jina ama nipo sahihi nikubali hilo jina.