kakuambia nani kila kitu unarejea dini, kama we mfia dini tafuta mbingu achana na hayo mambo! Mambo ya mbunye yaliwavuruga mastaa kibao wa kwenye baibo, Daudi, Suleiman, Magdalena.... Ukimpata mtu mnapendana jipeni raha bila maswali maswali, vinginevyo una kigugumizi kwenye mapenzi