Wanandoa wagegedane mara ngapi kwa wiki?

Majukumu yakiongezeka utakuja kulia humu ooo anataka tufanye kila siku
Mi nimegundua wakati mwingine haweza dhani huna nguvu za kiume kumbe maisha tu yanakaba- Huyu mpeni miaka 3 atakuja humu kutafuta ushauri na dawa kumbe akidhani nguvu zimeisha kumbe game yight tu. Maximum sio mchezo
 
KARIBU Latin chama cha watombanaji wasio na mipaka.chi vema pia ujue kuwa kuna na kupigwa vipepsi tu mpaka kunakucha.
 

Kwa wiki mara 3
 
Kiafya na kuimarisha hisia na akili mara mbili kwa wiki ipo safi friday night na jpili jioni au mchana
 
Usiku unataka kugegeda, mtoto kaamuka analia usiku kucha, kugegeda sana kabla watoto awajawa na miaka 3 na kuendelea. Baada ya apo mapenzi hayanaga raha tena katika ndoa. Unamuacha mke unaenda kutafuta kiburudisho pembeni
Watu msioelewa maana ya ndoa,shame on you..unataka mtoto asilie??afe ama vipi..hujui kulea ni kazi,mchepuko ndo suluhu? Famba kbs... Mkeo na ye akichepuka je,lione
 
Mmh kwa post hii..bado nakuona mtoto...mrudie Mungu wako na endelea kujifunza ndoa na mahusiano ndo uamue kuoa....
 
 
Mi nimegundua wakati mwingine haweza dhani huna nguvu za kiume kumbe maisha tu yanakaba- Huyu mpeni miaka 3 atakuja humu kutafuta ushauri na dawa kumbe akidhani nguvu zimeisha kumbe game yight tu. Maximum sio mchezo
Hahahaha we muache tuu hii mambo haipaswi kushupaliwa kama makinikia
 
polee mkuu... ila mumeo/mkeo itakuwa ana kimchepuko sio bure mwezi?!!!!???
Wala hata ni uvivu tu na less interest...Ila ndio wajibu wa mke sasa af mtu anajifanya kukwepa. Napataga kwikwi sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…