PostGE2025 Wananchi Zanzibar wajitokeza uchaguzi mdogo Fuoni

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Joined
Dec 9, 2025
Posts
50
Reaction score
84
Wananchi wa Jimbo la Fuoni lililopo wilaya ya Magharibi B mkoa wa Mjini Mgaharibi, Zanzibar wameendelea kujitokeza kushiriki katika uchaguzi mdogo wa Mbunge katika jimbo hilo.

Uchaguzi huo unafanyika hii leo Desemba 30, 2025 kufuatia kifo cha aliyekuwa mgombea Ubunge wa jimbo hilo, Abbas Ali Hassan Mwinyi aliyefariki mwezi Septemba mwaka huu.

Msimamizi wa uchaguzi wa Wilaya hiyo, Miraji Mwadin Haji ameeleza kuwa hali ya kiusalama katika vituo vyote 36 vya uchaguzi ni shwari na wananchi wameendelea kujitokeza kushiriki uchaguzi huo.

Soma pia
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…