Hebu thibitisheni habari kama hizi ni kweli. Inaelezwa ya kwamba wananchi katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Pwani na Dar es salaam wanavamia mashamba, viwanja, nyumba na mali nyingine za watuhumiwa wa Ufisadi na wale wa EPA?
Je, haya ni kweli au uzushi tu?
Kama wanazimiliki kihalali itakuwa balaa.
Kama wanazimiliki kihalali itakuwa balaa.
Kuhamasisha watu kuvunja sheria ni kosa.Kesi ziko mahakamani si vizuri kufanya vurugu.Ustahamilivu unatakiwa katika masuala haya.