Samvulachole
JF-Expert Member
- Oct 22, 2006
- 413
- 119
Hata mihogo, viazi, magimbi, ni mizizi na tunaila mjini kila kukicha.
FF mchawi wako amekufa au????Mbona huna huruma hata kwa ndugu zako,kulikoni? Au mchawi ndio wewe mwenyewe?Lakini yote yana mwisho. Amen
Juzi nimeenda Wilaya ya kisarawe nikashangazwa kuona dhiki ilkiyokubuhu kule. Lakini lililonitisha ni kuambiwa kuwa wananchi wako maeneo ya kibuta wana dhiki kiasi cha kuwa hawana hata chakula wameishia kula mizizi
Hivi kweli miaka 50 baada ya uhuru imekuwaje wilaya ile inaonekana kama vile bado wako enzi za mkoloni mjerumani?
Hivi jimbo la kisarawe lina mbunge kweli?
wabunge waliopita ni:
KIGOMA ALI MALIMA (marehem)
MZEE JANGUO (alikuwa mkurugenzi THA)
Jamani kuna siri gani ambayo inafanya viongozi wa serikali na chama na NGO's kulikimbia hili jimbo la kisarawe?
Nashauri Rais atangaze hali ya dharura ili ijulikane imekuwaje wananchi ambao ni watanzania wanakula mizizi wakati kuna programu za maendeleo, wna wanatengewa fedha za maendeleo na wanakatwa kodi za kila namna
Juzi nimeenda Wilaya ya kisarawe nikashangazwa kuona dhiki ilkiyokubuhu kule. Lakini lililonitisha ni kuambiwa kuwa wananchi wako maeneo ya kibuta wana dhiki kiasi cha kuwa hawana hata chakula wameishia kula mizizi
Hivi kweli miaka 50 baada ya uhuru imekuwaje wilaya ile inaonekana kama vile bado wako enzi za mkoloni mjerumani?
Hivi jimbo la kisarawe lina mbunge kweli?
wabunge waliopita ni:
KIGOMA ALI MALIMA (marehem)
MZEE JANGUO (alikuwa mkurugenzi THA)
Jamani kuna siri gani ambayo inafanya viongozi wa serikali na chama na NGO's kulikimbia hili jimbo la kisarawe?
Nashauri Rais atangaze hali ya dharura ili ijulikane imekuwaje wananchi ambao ni watanzania wanakula mizizi wakati kuna programu za maendeleo, wna wanatengewa fedha za maendeleo na wanakatwa kodi za kila namna
Na mbunge wa sasa ni Said Jafo, graduate wa Bsc. HE&HN SOKIONE UNIVERSITY, 2001
ccm ilishinda kule kwa asilimia 99Hata mihogo, viazi, magimbi, ni mizizi na tunaila mjini kila kukicha.
Juzi nimeenda Wilaya ya kisarawe nikashangazwa kuona dhiki ilkiyokubuhu kule. Lakini lililonitisha ni kuambiwa kuwa wananchi wako maeneo ya kibuta wana dhiki kiasi cha kuwa hawana hata chakula wameishia kula mizizi
Hivi kweli miaka 50 baada ya uhuru imekuwaje wilaya ile inaonekana kama vile bado wako enzi za mkoloni mjerumani?
Hivi jimbo la kisarawe lina mbunge kweli?
wabunge waliopita ni:
KIGOMA ALI MALIMA (marehem)
MZEE JANGUO (alikuwa mkurugenzi THA)
Jamani kuna siri gani ambayo inafanya viongozi wa serikali na chama na NGO's kulikimbia hili jimbo la kisarawe?
Nashauri Rais atangaze hali ya dharura ili ijulikane imekuwaje wananchi ambao ni watanzania wanakula mizizi wakati kuna programu za maendeleo, wna wanatengewa fedha za maendeleo na wanakatwa kodi za kila namna
Juzi nimeenda Wilaya ya kisarawe nikashangazwa kuona dhiki ilkiyokubuhu kule. Lakini lililonitisha ni kuambiwa kuwa wananchi wako maeneo ya kibuta wana dhiki kiasi cha kuwa hawana hata chakula wameishia kula mizizi
Hivi kweli miaka 50 baada ya uhuru imekuwaje wilaya ile inaonekana kama vile bado wako enzi za mkoloni mjerumani?
Hivi jimbo la kisarawe lina mbunge kweli?
wabunge waliopita ni:
KIGOMA ALI MALIMA (marehem)
MZEE JANGUO (alikuwa mkurugenzi THA)
Jamani kuna siri gani ambayo inafanya viongozi wa serikali na chama na NGO's kulikimbia hili jimbo la kisarawe?
Nashauri Rais atangaze hali ya dharura ili ijulikane imekuwaje wananchi ambao ni watanzania wanakula mizizi wakati kuna programu za maendeleo, wna wanatengewa fedha za maendeleo na wanakatwa kodi za kila namna