Uzuri ni kwamba wananchi washajua ukweli. Bila watawala kutenda na kuheshimu Haki Taifa haliwezi kuwa na AmaniHao viongozi wa dini uliowataja ni wapi? Hao kina malasusa wanaotangaza amani bila haki?
Tunaweza tusimuone tena😭😭😭
Imekuwa ni muda sana sasa hayuko nasi uraianiTunaweza tusimuone tena😭😭😭
Kama Mdude na yule kijana mchoraji wamewapoteza kibabe kabisa! Hawawezi kushindwa kumpoteza na huyo Muinjilisti. Huu utawala wa awamu hii umeteka, umepoteza, umeua, umefunga, umetesa, na kuwafanyia ukatili raia wengi mpaka basi.Tunaweza tusimuone tena😭😭😭
Utawala usioogopa kutoa uhai wa mwanadamu umeshindwa kuongoza wananchiKama Mdude na yule kijana mchoraji wamewapoteza kibabe kabisa! Hawawezi kushindwa kumpoteza na huyo Muinjilisti. Huu utawala wa awamu hii umeteka, umepoteza, umeua, umefunga, umetesa, na kuwafanyia ukatili raia wengi mpaka basi.
Hali ni tete usipounga juhudi watawala hasa kwa vijana kaa kimya vinginevyo utapotezwaMi nikipata chance nahama hii Nchi, mateso ya Moyo ninayopata hayavumiliki tena😭😭😭. Tunauliwa kama kuku huku tukiangaliana tu bila kuchukua hatua. Mimi sijui nani alituloga watz jamani.
Mchumia Janga hula na wa kwako.
Unabariki na kufurahia yaliomkuta hakuna Sheria za kumwajibisha akiwa amefanya kosaMchumia Janga hula na wa kwako.
Acha ndugu zake na watu wa karibu waumie we kama huna ukaribu na familia inakuhusu nini
We unashauri tufanyejeMi nikipata chance nahama hii Nchi, mateso ya Moyo ninayopata hayavumiliki tena😭😭😭. Tunauliwa kama kuku huku tukiangaliana tu bila kuchukua hatua. Mimi sijui nani alituloga watz jamani.
Tuungane tudai mabadilikoWe unashauri tufanyeje
Kwani kimemkuta kitu gani Mkuu?Unabariki na kufurahia yaliomkuta hakuna Sheria za kumwajibisha akiwa amefanya kosa
Mimi sina chama sina mihemko ya kisiasa sijatukana mtu yeyote nimeulizia kibinadamu kiutuKwani kimemkuta kitu gani Mkuu?
Usitumie mihemko sana,
We umeona hata kiongozi mmoja wa CHADEMA kumuongelea?
Ndio ujue ugali wa familia yako ni muhimu kuliko mihemko ya kisiasa.
We kubali,kataa,tukana ila ndio uhalisia
Sina chama na Unafiki ni kitu kimojaMimi sina chama sina mihemko ya kisiasa sijatukana mtu yeyote nimeulizia kibinadamu kiutu