Hii imetokea leo uko wilayani masasi mbele mgombea mwenza wa ukawa babu Duni.
Wananchi hao walimzomea dr makaidi aliesimamishwa kupitia NLD na waliimba wakimta Kundambwa
Source channel ten habari
Kwani wewe Mmawia hujui au unajishaua tu?Eeeeeh,endelea
Ndo hivyo ubunge ameukosakwa hiyo?
Mkuu, ahsante kwa kuleta uzi huu. Ila tukio hili limetokea jana pale Masasi wakati Juma Duni Haji alipohutubia makumi ya wananchi wa mji wa Masasi akimuombea kura Mgombea Urais, Edward Lowasa. Mara baada ya kunadi sera za UKAWA, Babu Duni alimsimamisha Makaidi ili kumuombea kura. Baada ya kusimama, wananchi walianza kumzomea na kuporomosha maneno makali kuashiria kuwa hawamtaki.
Watu hao walipaza sauti zao wakisema kuwa hawamtambui Makaidi kwa vile si mtu wao. Wakasema kuwa asimamishwe Kundambanda ambaye wanaishi naye kila siku na wanamfahamu. Kundambanda amechukua fomu kugombea Ubunge jimbo la Masasi kwa tiketi ya CUF. Baada ya tafrani hiyo, mkutano huo ulivunjika na mzee Makaidi jasho lilikuwa linachuruzika hasa kwapani kutokana na kuhemwa na kile kilichomtokea.
Hapa ni dhahiri kwamba Makaidi Ubunge ameukosa. Ajipange kivingine. Na ni dhahiri pia kuwa UKAWA wameshapoteza jimbo la Masasi Mjini
Ndo hivyo ubunge ameukosa
Kwani wewe Mmawia hujui au unajishaua tu?
Hii imetokea leo uko wilayani masasi mbele mgombea mwenza wa ukawa babu Duni.
Wananchi hao walimzomea dr makaidi aliesimamishwa kupitia NLD na waliimba wakimta Kundambwa
Source channel ten habari
Kwakweli nimeamini UKAWA wameingia CHOO CHA KIKE
Choo cha kike hakina tundu? Subiri Oct 25
Muwe mnatoa tafsili mnapoandika kilugha kundambwa ndiyo nini.Hii imetokea leo uko wilayani masasi mbele mgombea mwenza wa ukawa babu Duni.
Wananchi hao walimzomea dr makaidi aliesimamishwa kupitia NLD na waliimba wakimta Kundambwa
Source channel ten habari
Endelea kuota ndoto za alinacha