Kwani nchi maana yake ni CCM?chadema wanazidi kuiharibu nchi!!!
WANANCHA WA ARUSHA ENEO LA MULOMBOO WAMEFUNGA BALABALA KUTOKANA NA WANANCHI KUUWAWA MARA KWA MARA KUTOKANA NA KUGONGWA NA MAGARI KATIKA ENEO HILO(HILI NALO SIJUI WATATUAMBIA NANI KACHOCHEA TUSUBIRI)
Washukuru maana wanakupa ajirachadema wanazidi kuiharibu nchi!!!
hizi bangi kweli mbaya, yani zina haribu kabisa uwezo wa mtu kufikiri!
Sasa kama hao wananchi waliofunga barabara, kwani hawazijui taratibu za kuweka bumps kwenye barabara mpaka waifunge?
Kama barabara ni ya kitaifa au mkoa, basi wawasiliane na tanroads ambao wana ofisi karibu kila mkoa, au kama ni ya wilaya wawasilishe halmashauri.
Mbona ni jambo dogo tu hili na wala halihitaji kuandamana na kufunga njia, kweli chadema mmetuharibia jamii yetu.
Chadema mnaendeleza uhuni wa kuharibu Taifa letu. By dr Slaa Taifa halitotawalika ndio tunachoshuhudia.
Chadema mnaendeleza uhuni wa kuharibu Taifa letu. By dr Slaa Taifa halitotawalika ndio tunachoshuhudia.
Chadema mnaendeleza uhuni wa kuharibu Taifa letu. By dr Slaa Taifa halitotawalika ndio tunachoshuhudia.
Hizi bangi kweli mbaya, yani zina haribu kabisa uwezo wa mtu kufikiri!
Sasa kama hao wananchi waliofunga barabara, kwani hawazijui taratibu za kuweka bumps kwenye barabara mpaka waifunge?
Kama barabara ni ya kitaifa au mkoa, basi wawasiliane na TANROADS ambao wana ofisi karibu kila mkoa, au kama ni ya wilaya wawasilishe halmashauri.
Mbona ni jambo dogo tu hili na wala halihitaji kuandamana na kufunga njia, kweli CHADEMA mmetuharibia jamii yetu.
Ahaa nilidhani wanamlilia lema kumbe ni matatizo yao ok maana huyu rc wa arusha ni kiboko ya manunda