Goliath mfalamagoha
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 602
- 2,505
KUHUSU WALIOACHA UONGOZI HALAFU WANAGOMBEA TENA. . ( 1)
Kwa jinsi shughuli Ya uchaguzi ilivyokuwa ngumu, watu hawakwenda kanisani, wengine walitoroka ibadani Ili tu kuwahi foleni. . . wengine hawakula, wengine hawakulala. . . . wengine walipigwa virungu, wengine maji Ya. kuwasha, wengine waliweka rehani familia zao na Hata uhai wao kuhakikisha mnaipata nafasi mliyoipata. . .
baadaye. . . mkasema haya yote hamkuyahesabu, mkaachia UONGOZI. . .
Sasa hivi mnataka tena watu wajitoe tena kwa ajili yenu? mmesahauje fadhila na majitoleo Ya wengine miaka 2 iliyopita? kwa nini mmekuwa wabinafsi kiasi hicho? kwamba ninyi muwe na furaha kupitia maumivu Ya wengine, maumivu juu Ya maumivu. . . .
Ngoja niwaeleze vizuri kwa mfano. . .
Ni kama vile mtu aje kwako akuambie ana kiu Ya maji, Nawe Huna, Ila kwa kuwa unamheshimu, uhangaikeeee, ukasake maji Mpaka uyapate. . . Kisima kipo mbali hatari. . . Ila ukamheshimu ukayaendea. . . umempa maji na bilauri, kapiga mafunda mawili, akapita mtu kashikilia chupa Ya pombe, Mbona asitupe bilauri Ya maji, anarukia Ile chupa. . . . maji yakamwagika. . . . akagida pombe, kiu ikaamka. . . anataka maji tena. . . anakuja kukuomba umpatie maji ana kiu. . . . .
Yaani Huyo ni wa kumpa kidumu akatafute maji mwenyewe. . . bora kumpa maji mpita njia ambaye atayathamini kuliko ulomthamini akakutenda. . .
NASEMA HIVI,
Kama walikataa uongozi, wakauacha Ili waweze kumuunga mkono Huyo waliyemuunga mkono, Maana yake waliona wanaweza kumuunga mkono BILA UONGOZI. . . Sasa hiki. cheusi chekundu wanacheza hapo. . . . Si haba goli la mkono wamehakikishiwa. . . .
[HASHTAG]#curse[/HASHTAG]. . . .
[HASHTAG]#curse[/HASHTAG]
Kwa jinsi shughuli Ya uchaguzi ilivyokuwa ngumu, watu hawakwenda kanisani, wengine walitoroka ibadani Ili tu kuwahi foleni. . . wengine hawakula, wengine hawakulala. . . . wengine walipigwa virungu, wengine maji Ya. kuwasha, wengine waliweka rehani familia zao na Hata uhai wao kuhakikisha mnaipata nafasi mliyoipata. . .
baadaye. . . mkasema haya yote hamkuyahesabu, mkaachia UONGOZI. . .
Sasa hivi mnataka tena watu wajitoe tena kwa ajili yenu? mmesahauje fadhila na majitoleo Ya wengine miaka 2 iliyopita? kwa nini mmekuwa wabinafsi kiasi hicho? kwamba ninyi muwe na furaha kupitia maumivu Ya wengine, maumivu juu Ya maumivu. . . .
Ngoja niwaeleze vizuri kwa mfano. . .
Ni kama vile mtu aje kwako akuambie ana kiu Ya maji, Nawe Huna, Ila kwa kuwa unamheshimu, uhangaikeeee, ukasake maji Mpaka uyapate. . . Kisima kipo mbali hatari. . . Ila ukamheshimu ukayaendea. . . umempa maji na bilauri, kapiga mafunda mawili, akapita mtu kashikilia chupa Ya pombe, Mbona asitupe bilauri Ya maji, anarukia Ile chupa. . . . maji yakamwagika. . . . akagida pombe, kiu ikaamka. . . anataka maji tena. . . anakuja kukuomba umpatie maji ana kiu. . . . .
Yaani Huyo ni wa kumpa kidumu akatafute maji mwenyewe. . . bora kumpa maji mpita njia ambaye atayathamini kuliko ulomthamini akakutenda. . .
NASEMA HIVI,
Kama walikataa uongozi, wakauacha Ili waweze kumuunga mkono Huyo waliyemuunga mkono, Maana yake waliona wanaweza kumuunga mkono BILA UONGOZI. . . Sasa hiki. cheusi chekundu wanacheza hapo. . . . Si haba goli la mkono wamehakikishiwa. . . .
[HASHTAG]#curse[/HASHTAG]. . . .
[HASHTAG]#curse[/HASHTAG]