Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Mbunge wa Kigoma mjini amewaomba wanachi wa Jimbo lake kutokupika pilau siku ya Mwaka mpya kwani kitapikwa chakula cha kwa pamoja Katika viwanja vya Mwanga Community Center.
Aidha Mhe. Baba levo amesema watakuwepo viongozi wa dini mbalimbali ambao watauombea mji wa Kigoma Mjini pamoja na baadhi ya wasanii pia watakuwepo kutoa burudani kwa Wasanii.
Aidha Mhe. Baba levo amesema watakuwepo viongozi wa dini mbalimbali ambao watauombea mji wa Kigoma Mjini pamoja na baadhi ya wasanii pia watakuwepo kutoa burudani kwa Wasanii.