Fasta fasta
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 1,126
- 725
Jamani wanajf ninaomba niileta hii theory hapa tujadiliane kama linawezekana. Bunge lililopita halikuwa nzuri sana kwa sababu kulikuwa na udikter ndani yake. Je kama bunge la mwezi wa nne litakuwa kama hili la juzi tufanye nini kwa sababu spika anatupotezea muda kwa maslahi anayoyajua mwenyewe wakati sisi tunaumia. Tunajua kuna wabunge walikuwa na uchungu sana na hasa masuala yanayogusa jamii lakini walinyimwa fursa hiyo. Tunaomba kama kanuni na sheria za bunge zinaruhusu wananchi kushinikiza kuondolewa kwa spika japo kuwa ni chaguo la wabunge.