Ndugu zangu wa Mtwara nyie ni watu makini, msiponzwe na CHADEMA, maandamano si njia bora ya kudai haki zenu, tumieni wawakilishi wenu kuanzia madiwani hadi wabunge watafanyia kazi kupitia serikali yetu sikivu
Mtwara KOMAENI tu. Hiki kiwanda cha kusafisha GAS na kufua umeme kikijengwa Mtwara, mtapata wafanyakazi wengi sana watakaokuja kuishi huko. Kwa kuwa wengine kipato chao kitakuwa kikubwa, basi wataanza kupeleka watoto wao shule, kufanya shopping, kujenga nk.
Na nyie hata kama hamna shule, basi mtapata kazi za ulinzi, kupanda mauwa kiwandani na kwenye majumba yao, kufagia na kila aina ya usafi. Watataka huduma bora za afya, elimu, usafiri nk.
Kwa ufupi ni kuwa mzunguko wa hela utakuwa mkubwa sana kwenye kiwanda cha Gas na ikiwezekana mitambo ya kuzalisha umeme viwepo pia hapohapo Mtwara. Dar ije Gas iliyo tayari kutumika moja kwa moja.
KOMAENI WATANI ZANGU HADI KIELEWEKE. Nyie ndiyo mmeweka msingi mpya wa kulinda rasilimali zetu.
Dar ije Gas iliyo tayari kutumika moja kwa moja.
ndugu zangu wa mtwara nyie ni watu makini, msiponzwe na chadema, maandamano si njia bora ya kudai haki zenu, tumieni wawakilishi wenu kuanzia madiwani hadi wabunge watafanyia kazi kupitia serikali yetu sikivu
Mie mkuu naona watu wamekata tamaa.
Wameona wanapuuzwa na watawala, hayo mengine yanakuja baada ya hilo. Watu wa Mtwara huko nyuma walikuwa na msimamo imara kisiasa wakiunga mkono serikali kwa kila kitu. Umaskini ndio umewafanya wakate tamaa.
Ni point ya kufanyia kazi bila hata kujali nani yuko behind.
Mchami haya ni ya ukweli. Tanzania haitakuwa ya kwanza kuingia katika matatizo ya uvunjifu wa amani kutokana na matatizo yasiyolinganifu ya maliasili/ raslimali hasa kwa sehemu zinapopatikana maliasili/raslimali hizo. Ndiyo maana tunapaswa kubadilisha muundo na mfumo wetu wa utawala na uchumi ili wananchi wawe na maamuzi.
Nasubiri mchango wako wa pili ....................... kama utarudia maneno yanayofanana na haya!!
Ili iweje?
Ndugu zangu wa Mtwara nyie ni watu makini, msiponzwe na CHADEMA, maandamano si njia bora ya kudai haki zenu, tumieni wawakilishi wenu kuanzia madiwani hadi wabunge watafanyia kazi kupitia serikali yetu sikivu