Wananchi Mtwara Mjini wafanya maandamano makubwa kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar!

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,101
6,025
Nipo hapa pande za Bima watu ni wengi mno, foleni ni kubwa sijawahi ona, waandamanaji/wapigananji..wanazunguka barabara kuu huku jeshi la posilisi likiwa nyuma yao lengo kubwa ni kupinga utoaji wa gas ielekee daslam...nyimbo nyiingi wanazoimba ni kwamba hawamtaki hasa ghasia wala mkuchika na gas isiwafate bali wao waifate ilipo....

NB: Kwa hali hii naona watu wa mtwara tumeanza/wameanza kujitambua!! Impact yake gas ikihamishwa itakuwa kubwa kuliko maelezo...we still keep in watching...GAS KWANZA, VYAMA BAADAE!!
More photos to come soon!!Stay tuned!!
Photoz: UPDATE
attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php

DSC02578.JPG



DSC02572.JPG



DSC02571.JPG



DSC02565.JPG
DSC02582.JPG
DSC02574.JPG
 

Attachments

  • wccs2g.jpg
    wccs2g.jpg
    85.8 KB · Views: 8,152
  • 33otb8g.jpg
    33otb8g.jpg
    84.8 KB · Views: 7,934
  • 2vcxjcj.jpg
    2vcxjcj.jpg
    67.7 KB · Views: 7,806
  • 2zjddhk.jpg
    2zjddhk.jpg
    104.2 KB · Views: 7,693
  • dp7lab.jpg
    dp7lab.jpg
    85.2 KB · Views: 7,484
  • DSC01521.JPG
    DSC01521.JPG
    69.6 KB · Views: 5,361
Ni haki yao kikatiba kutoa mawazo yao hatahivyo hawapaswi kupongezwa kwa kufuata sera za kikanda badala ya kinchi
 
Huyu ****** ni kilaza wa kutupwa tuna mshauri aachane na wazo lake mapema, asifikiri watu wa Mtwara ni wajinga. Ajiunze kutoka mataifa yenye machafuko duniani, Hawezi jushindana na Peoples Power. Na kwa taarifa yake 2015 imeshakula kwake. Hii ndiyo harufu ya mageuzi inayoanza kunukia Mtwara. Hawa Ghasia na Mkuchika hawana msaada na sisi, hatuwataki...!
 
Ndugu zangu wa Mtwara nyie ni watu makini, msiponzwe na CHADEMA, maandamano si njia bora ya kudai haki zenu, tumieni wawakilishi wenu kuanzia madiwani hadi wabunge watafanyia kazi kupitia serikali yetu sikivu
 
Nawaunga mkono,sio kila siku mnaitwa mikoa ya pembezoni,na nyie mnakubali kuwa wapembeni, msikatae tamaa wala kuogopa vitu vyenye ncha kali.
 
Big up mlikuwa mnatuangusha sana watu wa uko!
ingawa kwa hili la gesi dah no comment
 
Hivi hiyo gesi ikibaki mtwara bila kupelekwa Dar ndo itawafaidia nini? Rasilimali ni vizuri ikajulikana ni za nchi wala siyo mkoa, wilaya au kanda. Kama Mtwara ungekuwa jiji lenye watu wengi na matumizi makubwa na fursa ya kutumia gesi ikapelekwa Dar na kuacha Mtwara hapo kungekuwa na tatizo.
 
Hizi NGOs na vyama vinavyoshabikia maandamano ya watu wachache wa Mtwara watueleze yafuatayo:-

1. Uzalishaji wa gesi unaofanyika Mtwara
2. Watumiaji wa gesi mkoani Mtwara

Wananchi wasikubali kutumiwa na watu wanaotaka kupata maslahi yao kupitia maandamano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom