Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Mkuu nakuunga mkono kwa hoja yako! Dar imejaa, haikaliki sasa hivi kwa sababu ya kulundika kila kitu huko! Maendeleo yawafuate watu na sio watu wanyang'anywe rasilimali kisha waanze kuzifuata Dar!
imagine watu wanawaza kujenga flyovers Dar kwingine watu hawana maji wala dispensary! Huu ni ushetani. Natamani mafuriko yarudi Dar