dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,669
Nakwambia kuna wenda wazimu huku mkuu.Ni kweli usemayo hata mm nakubali Mbowe kachemka. Ila huko cdm kama hukubaliani na hilo unaweza kuhama chama au kuanzisha cha kwako kama Zito. Je kwenye nchi? Kweli unaweza fananisha katiba ya nchi na ya cdm? You can't be serious.
Kazi ipo