Wananchi bahi wamsubiri magufuli hata usiku

Wananchi bahi wamsubiri magufuli hata usiku

Gininiga

Member
Joined
Mar 6, 2015
Posts
28
Reaction score
16
IMG_5470.JPG
IMG_5471.JPG
Wananchi wa Wilaya ya Bahi hata usiku ilibidi wamsubiri Dkt.Magufuli japo kuapata neno la utambulisho wake.


 
Safari hii watanzania wakiirudisha tena CCM madarakani, basi wajilaumu wenyewe kwa ujinga wao.
 
Ujinga wa kufikir wa watanzania walio wengi ni mtaji kwa ccm, wanakaribisha mateso tena ya miaka kumi... Timu ya ccm ni ileile wachezaji walewale mfumo uleule Magufuli ni mmoja kati yao...
 
Sumu ya CCM bado ni ile ile. Ni chupa tu imebadilishwa. Magufuli mwenyewe katika hotuba yake ya kuomba kura aliwatamkia wazi mafisadi wenzake kwamba hatawaangusha! Kwa kauli hiyo wala wananchi wasitegemee jipya! Ni ufukara mwingine kwa kwenda mbele
 
hakuna jipya kiongozi anatoa taarifa anakuja saa nne asubuhi halafu anafika usiku.
 
Magufuli hajafikia kupendwa na kuaminiwa kama Jakaya.
 
Hiv bahi si ni wale wananchi ombaomba......??
 
Mimi nipo bahi mwenyekiti wa ccm alikuwa anapita nyumba kwa nyumba akihamasisha tuende barabarani ili aonekane anachapa kazi mimi nilimtoa puta
 
UKAWA nao wakianza kufanya mikutano ya hadhara usiku policcm wasianze kuleta mambo ya intelijensia!
 
Sumu ya CCM bado ni ile ile. Ni chupa tu imebadilishwa. Magufuli mwenyewe katika hotuba yake ya kuomba kura aliwatamkia wazi mafisadi wenzake kwamba hatawaangusha! Kwa kauli hiyo wala wananchi wasitegemee jipya! Ni ufukara mwingine kwa kwenda mbele

inabidi malalamiko haya umwambie na ndugu zako wote na marafiki,maana wewe angalau wajua CCM Ni shida yaani Ni majambazi, wauaji, wahongo, wanafki, wabaguzi na wezi wa kura zetu Insha'Allah tutayashida haya mapepo wachafu kazi kunenepesha tumbo zao na familia zao kaa ngurue
 
Magufuli ndio rais wetu lazima watu wamuhitaji tu hata usiku wa manane, jembe letu hilo
 
Maccm muda wa mchana autoshi,sasa kampaini tunafanya usiku wa manane.
 
UKAWA nao wakianza kufanya mikutano ya hadhara usiku policcm wasianze kuleta mambo ya intelijensia!

dawa yao ni mawe tu, wakileta shida pasipokuwa na shida. Yaani polisi wa tz ni adui no moja wa ukawa maana wanatunyanyasa Sana, hayaoni aibu na mishahara midogo walipwayo na serikali ya chama cha majambazi (CCM)???
 
View attachment 270368
View attachment 270369
Wananchi wa Wilaya ya Bahi hata usiku ilibidi wamsubiri Dkt.Magufuli japo kuapata neno la utambulisho wake.



Tunawaonea huruma sana ndugu zetu wagogo kwa kuendelea kubakia na umasikini ulio bobea,lkn hiyo inatokana na wao kuendelea kuikumbatia ccm,kama tulivyo ona kuna baadhi bado wanatibiwa chini ya mti baada ya miaka 50 ya uhuru.
 
UKAWA nao wakianza kufanya mikutano ya hadhara usiku policcm wasianze kuleta mambo ya intelijensia!

Mkuu si umeona jana jinsi mbowe alivyo jitahidi kuwaomba wananchi wakubali kuondoka uwanjani baada ya 12 kufika ingawa wananchi walikuwa bado wanataka kuendelea kupata neno la ukombozi
 
Mimi nipo bahi mwenyekiti wa ccm alikuwa anapita nyumba kwa nyumba akihamasisha tuende barabarani ili aonekane anachapa kazi mimi nilimtoa puta

Hongera kamanda kwa kujitambua,kumbe walikuwa wanahimizwa kwenda kujipanga barabarani?
 
Most of them watakua ni form 2 au form 4 failures. Haiingii akilini mtu mwenye akili timamu akafanya ujinga kama huo.

He is taking advantage of morons, gullible & illiterate poor Tanzanian
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom