super black
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 566
- 540
- Thread starter
- #21
Sikupitia mkuuMbona hii mada tumeshaichangia sana tokea juzi kama siyo jana ilipoletwa humu na baadhi ya Members?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikupitia mkuuMbona hii mada tumeshaichangia sana tokea juzi kama siyo jana ilipoletwa humu na baadhi ya Members?
Nabii aliyeoteshwa kuwa kufika Mbezi wa 7 tutakuwa tumeukimbia mji akajipange upya.Bado tupo mjini mwezi wa saba huu unakatika tunabanana hapahapa haondoki mtu
Sent using Jamii Forums mobile app