Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Ndio maana nikasema,hao watakaonipigia simu wawe wanajiweza!Maana watu tunalalamika hali imekuwa ngumu halafu mtu anipigie simu eti mchague JPM!Nitamwambia sawa ila ahakikishe hanisumbui!Inatakiwa bado uwafikirie,kwani sisi site ni ndugu na dunia nimoja,ila yafaa uendelee kuwaelimisha waweze kukuelewa na kufanya like kitakacho wasaidia Watanzania wote,bila kuwabagua kwa itikadi zao au vinginevyo.