LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Haya yanaweza ikawa ni dalili gani tena WanaJF? Imetokea hapo Iringa.
iringa kila mwaka vihoja tumesha wazoea, kwani mwaka juzi hukohuko iringa matamba kuna ng'ombe alikula kuku,Haya yanaweza ikawa ni dalili gani tena WanaJF? Imetokea hapo Iringa.