Wakati inatokea hyo ajali nilikuepo but baadae nilimuuliza mtu kwa njia ya sim nikapata taarifa kua mpaka sasa hajafa mtu ila majuruhi na wengine imebidi wawahishwe Tanzania Bara kwa matibabu zaidi. Samahani kwa kizenji BUSA ni Kugongwa na gari pikipiki au baiskeli. ni lugha rasmi kweti sio kichochoroni