Miki123
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 288
- 502
Wanajeshi wa korea kaskazini wameonyesha mfano wa kutovumilia yoyote anayehatalisha hali ya usalama ya taifa hilo.
Wanajeshi wa kim jong un jumanne ya wiki hii wamemchoma moto na kumpiga risasi mwanajeshi wa korea kusini kwenye eneo lenye ulinzi wa hatari DMZ.
Mwanajeshi wa korea kusini alikuwa yupo rindoni baharini upande magharibi wa rasi ya korea. Akiwa na boti yake ya dolia mjeshi huyo alizama kwenye maji ya bahari na kuogelea kuelekea upande wa Korea kaskazini. Wakati akiwa kwenye chombo kilichomsaidia kuelea wanajeshi wa korea kaskazini waliokuwa kwenye doria walimuona.
Wakaanza kumuhoji, inashukiwa mwanajeshi wa korea kusini alieleza nia yake ya kukimbilia korea kaskazini lakini wanajeshi wa korea kaskazini hawakulizishwa na maelezo.
Baada ya masaa sita walimpiga risasi na kuutia moto mwili wake.
Hivi karibuni kim jong un alitoa amri watu wanaotorokea korea kaskazini kwenye mipaka wapigwe risasi kama njia ya kuzuia kuingiza corona toka nje ya nchi, hilo lilisemwa baada ya mkorea kaskazini aliyetorokea kusini kuamua kurudi kwao kwa kuvuka mpaka wa korea kaskazini na kusini na kisha kukutwa na corona.
Shooting of official puts inter-Korean relations in tangle
Wanajeshi wa kim jong un jumanne ya wiki hii wamemchoma moto na kumpiga risasi mwanajeshi wa korea kusini kwenye eneo lenye ulinzi wa hatari DMZ.
Mwanajeshi wa korea kusini alikuwa yupo rindoni baharini upande magharibi wa rasi ya korea. Akiwa na boti yake ya dolia mjeshi huyo alizama kwenye maji ya bahari na kuogelea kuelekea upande wa Korea kaskazini. Wakati akiwa kwenye chombo kilichomsaidia kuelea wanajeshi wa korea kaskazini waliokuwa kwenye doria walimuona.
Wakaanza kumuhoji, inashukiwa mwanajeshi wa korea kusini alieleza nia yake ya kukimbilia korea kaskazini lakini wanajeshi wa korea kaskazini hawakulizishwa na maelezo.
Baada ya masaa sita walimpiga risasi na kuutia moto mwili wake.
Hivi karibuni kim jong un alitoa amri watu wanaotorokea korea kaskazini kwenye mipaka wapigwe risasi kama njia ya kuzuia kuingiza corona toka nje ya nchi, hilo lilisemwa baada ya mkorea kaskazini aliyetorokea kusini kuamua kurudi kwao kwa kuvuka mpaka wa korea kaskazini na kusini na kisha kukutwa na corona.
Shooting of official puts inter-Korean relations in tangle