MIDFIELD
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,944
- 701
Mkuu waambie bwn hawa Chadema maana wanajua kuwa wanajeshi kule Darful wanafanya kazi ya CCM. wana jf kweli nadhani 95% au zaidi ni chadema. Lkn jifunzeni utaifa kwanza, uchadema baadaye! Pum...f .u nyieWewe ni --------,na hukufaa kuwepo humu jamii forums kama home of great thinkers,unashabikia siasa kama ushabiki wa mpira wa simba na yanga.Haihitaji uende shule ili ufahamu kuwa pamoja na matatizo yetu,lakini tunaposhambuliwa na adui wa nje tunapaswa kuwa wamoja na kutetea kwa nguvu zote vilivyo vyetu.Wengi wet humu ni chadema damu lakini yanapotokea maswala kama haya tunaacha uchadema na kuona tunailindaje nchi yetu kama wajibu wetu wa msingi kabisa.hivi unadhani watu kama Zitto Kabwe wataku-support na upuuzi wako.Tena unaharibu taswira ya chama chetu cha nguvu ya umma Chadema kwa ktudhalilisha mbele ya watu kuwa hatuna uzalendo kama ni kitu cha kwanza kwa mtanzania no matter what! Nikuulize tena hivi umeona jinsi wamarekani bush na obama walivyokutana pamoja kuwakumbuka wale watu waliokufa na bomu kwenye ubalozi wao dar es salaam.BORA UACHE KU-COMMENT VITU USIVYOVIJUA KULI SABABU HUWEZI SIASA UNASHABIKIA HADI UNAHHARIBU MAANA ,yani wewe ni -------- kwelikweli