Wanajeshi saba Watanzania wauawa Dafur

Wewe ni --------,na hukufaa kuwepo humu jamii forums kama home of great thinkers,unashabikia siasa kama ushabiki wa mpira wa simba na yanga.Haihitaji uende shule ili ufahamu kuwa pamoja na matatizo yetu,lakini tunaposhambuliwa na adui wa nje tunapaswa kuwa wamoja na kutetea kwa nguvu zote vilivyo vyetu.Wengi wet humu ni chadema damu lakini yanapotokea maswala kama haya tunaacha uchadema na kuona tunailindaje nchi yetu kama wajibu wetu wa msingi kabisa.hivi unadhani watu kama Zitto Kabwe wataku-support na upuuzi wako.Tena unaharibu taswira ya chama chetu cha nguvu ya umma Chadema kwa ktudhalilisha mbele ya watu kuwa hatuna uzalendo kama ni kitu cha kwanza kwa mtanzania no matter what! Nikuulize tena hivi umeona jinsi wamarekani bush na obama walivyokutana pamoja kuwakumbuka wale watu waliokufa na bomu kwenye ubalozi wao dar es salaam.BORA UACHE KU-COMMENT VITU USIVYOVIJUA KULI SABABU HUWEZI SIASA UNASHABIKIA HADI UNAHHARIBU MAANA ,yani wewe ni -------- kwelikweli
Mkuu waambie bwn hawa Chadema maana wanajua kuwa wanajeshi kule Darful wanafanya kazi ya CCM. wana jf kweli nadhani 95% au zaidi ni chadema. Lkn jifunzeni utaifa kwanza, uchadema baadaye! Pum...f .u nyie
 
Inasikitisha makamanda kupoteza maisha wakitimiza wajibu wao..lakini inauma pale watanzania wanapokosa utu na uzalendo.rip walinzi wetu.
Hao makamanda ndo wana utu na Uzalendo? Watu tunapigwa huku we unataka
tusikitike? na sasa hivi wanaimba kwenye mchakamchaka "TUMEWACHOKA WANAMTWARA"
Inakoenda wataimba TUMEWACHOKA WATANZANIA...... Binafsi roho imetulia kidogo
na nahisi faraja kwelikweli.
 
Hao makamanda ndo wana utu na Uzalendo? Watu tunapigwa huku we unataka
tusikitike? na sasa hivi wanaimba kwenye mchakamchaka "TUMEWACHOKA WANAMTWARA"
Inakoenda wataimba TUMEWACHOKA WATANZANIA...... Binafsi roho imetulia kidogo
na nahisi faraja kwelikweli.
Kama vile unamkataba na Mungu wa kuishi milele!kama vile hauta kufa!duniani wote ni wapitaji!kwenye swala la utu ushabiki unatakiwa ukae pembeni.na hicho unachokiwaza na kukitarajia hakitatokea kamwe roho itaendelea kukuuma kila siku kwani wewe una roho mbaya.RIP makamanda.
 
Afadhali yako ndg yanguTripo9 maana hawa jf wengine nawashangaa kbs hata uzalendo kwa nchi yao hawana. wao kukicha wanawaza uchadema na uccm tu.inasikitisha sana kizazi hiki. hivi nyie kweli mnaweza kuilinda nchi yenu nyie! Ingekuwa kafa mwana bongo flavor au bongo movie, ungeona comment za RIP, lkn kwa hawa watetea taifa na amani duniani wanaoneka ni kama mbwa tu wamekufa. nyie vijana wa chadema hamfai kabisa hata kwa kulumagia. naomba nieleweke kuwa mm sina chama. chama changu ni Tanzania
Yaani mkuu hapa jf kwa watu neutrals ni kichefuchefu. Taifa ni nyuma, uchama ni mbele. Bull...it!
 
Kama vile unamkataba na Mungu wa kuishi milele!kama vile hauta kufa!duniani wote ni wapitaji!kwenye swala la utu ushabiki unatakiwa ukae pembeni.na hicho unachokiwaza na kukitarajia hakitatokea kamwe roho itaendelea kukuuma kila siku kwani wewe una roho mbaya.RIP makamanda.
Kwa hiyo utu ni upande mmoja na upande mwingine haustahili utu
Nimetoka Arusha na kwenda moja ya wilaya za Mtwara nikiwa
katika mihangaiko ya kibiashara pasi na kutegemea naambulia
Kipigo, nimejaribu kujitetea kuwa mimi sio mwenyeji wa huku na
hata meno yangu yanaonyesha lakini sikusikilizwa...... Aah
warest Jahannamu tu, maana wameshaniweka makovu
Yaani utu upande mmoja tu!
 
Back
Top Bottom