Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,631
Penye ukweli pasemwe.
Mpaka leo hakuna martial artist yeyote (G.O.A.T) ulimwenguni kote ambaye anatokea jeshini , kwenye sanaa za mapigano zote (martial art) kuanzia boxing, kung fu ,taekwando ,judo, kickboxing, muay thai, jiu jitsu nk
Ile man to man huwa hawatoboi , hata tukiangalia kwa hapa Tanzania wale boxers ambao wanaonekana kama ni face of boxing kuanzia Kidunda, Galiatano , Mbonabucha nk hawana chochote cha maana walichonacho tena huyo Kidunda wanayemuaminia alipigwa kama ngoma na Asemahle mpaka leo anaogopa kupanda ulingoni akikumbuka fedheha aliyoipata.
Tukija hata michezo mingine inayohusisha sanaa ya mapigano jamaa bado ni wa kawaida kwa watu ambao wanajihusisha na sanaa hiyo hiyo, wanachojua wao ni kuonea raia tu wasio na mafunzo yoyote .
Mbali na hayo ni ile kumilikishwa kisheria kutumia silaha , kinyume na hapo hamna kitu hapo.
Watz hawanunui uoga.
Hawacheki na wasaliti wa bei nafuu
Mpaka leo hakuna martial artist yeyote (G.O.A.T) ulimwenguni kote ambaye anatokea jeshini , kwenye sanaa za mapigano zote (martial art) kuanzia boxing, kung fu ,taekwando ,judo, kickboxing, muay thai, jiu jitsu nk
Ile man to man huwa hawatoboi , hata tukiangalia kwa hapa Tanzania wale boxers ambao wanaonekana kama ni face of boxing kuanzia Kidunda, Galiatano , Mbonabucha nk hawana chochote cha maana walichonacho tena huyo Kidunda wanayemuaminia alipigwa kama ngoma na Asemahle mpaka leo anaogopa kupanda ulingoni akikumbuka fedheha aliyoipata.
Tukija hata michezo mingine inayohusisha sanaa ya mapigano jamaa bado ni wa kawaida kwa watu ambao wanajihusisha na sanaa hiyo hiyo, wanachojua wao ni kuonea raia tu wasio na mafunzo yoyote .
Mbali na hayo ni ile kumilikishwa kisheria kutumia silaha , kinyume na hapo hamna kitu hapo.
Watz hawanunui uoga.
Hawacheki na wasaliti wa bei nafuu