Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
Wanajamvi, naomba kujuzwa utaratibu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ( HESLB) kwa anayetaka kusoma shahada ya pili yaani Masters degree.
HESLB hawatoi mkopo kwa ajili ya Masters DegreeWanajamvi, naomba kujuzwa utaratibu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ( HESLB) kwa anayetaka kusoma shahada ya pili yaani Masters degree.
wanatoaHESLB hawatoi mkopo kwa ajili ya Masters Degree
Utaratibu upo vipiwanatoa
soma mwongozo kutoka tovuti ya bodi. www.heslb.go.tzUtaratibu upo vipi