Wanajamvi hebu tuijadiri hili kwa mustakabali wa taifa letu.

mamba1

JF-Expert Member
Jun 24, 2015
470
247
Nimeangalia taarifa habari saa 2 ITV .Nimemuona mama mmoja akilalamika kwamba mwanawe amekosa mkopo wa kuendelea na masomo ya elimu ya juu ingawa alichagua kozi ya kipaumbele yaani ualim wa sayansi. Na kuna mwanafunzi kadiriki kusema wananchi waunde kamati ambayo itawezesha wananchi kuchangia ili wasaidiwe.

MY TAKE: Mimi mwenyewe ni mhanga katika hili nilichaguliwa kozi ya kipaumbele lkn mpaka sasa hv nill. Pia hiz kamati ni mbaya sana kwani zitachangisha na kuingia na pesa za michango yote mitini kama ilivyotokea kwenye kamati ya maafa kagera.
 
Mkuu pesa labda zinapelekwa chato kujenga airport....

Bungeni kuhonga wabunge wapitishe mswada wa kihaini....

Na kumlipa lipumba.......

Hakuna cha ziada kama tu ndege kununua ni siri unategemea nini?.........
 
Mkuu pesa labda zinapelekwa chato kujenga airport....

Bungeni kuhonga wabunge wapitishe mswada wa kihaini....

Na kumlipa lipumba.......

Hakuna cha ziada kama tu ndege kununua ni siri unategemea nini?.........
Hivi mwezi huu vip yale matilioni yetu ni kiasi gan
 
Kura huamua yote. Elimu bure hadi chuo kikuu kama enzi za mwalimu au elimu bure yenye michango hadi form 4. Wenyewe mkapenda iishie form 4. Ndo basi tena subirini wakati mwingine
 
Wengine familia zao zilikuwa hawajwez mpk kupewa fedha za tasaf..lakin bodi imewaona hawana sifa yaan wazaz wao wanaweza kuwasomesha
 
Walichikifanya serkali mwaka huu,ni hivii!! Wamekusanya elf30 za waliiomba mkopo,ambao idadi yao inakadiliwa ni 88 elf,waliofanikiwa kupata ni elf20,kwahiyo wamechukua zilezile za walioombea mkopo,halafu wakachukua nusu yake wakawapa mkopo hao elf20,ile iliyobaki wameongezea kwenye kununua ndege.
 
Kura huamua yote. Elimu bure hadi chuo kikuu kama enzi za mwalimu au elimu bure yenye michango hadi form 4. Wenyewe mkapenda iishie form 4. Ndo basi tena subirini wakati mwingine
Mkuu Leiya, umenena vyema sana!
 
Walichikifanya serkali mwaka huu,ni hivii!! Wamekusanya elf30 za waliiomba mkopo,ambao idadi yao inakadiliwa ni 88 elf,waliofanikiwa kupata ni elf20,kwahiyo wamechukua zilezile za walioombea mkopo,halafu wakachukua nusu yake wakawapa mkopo hao elf20,ile iliyobaki wameongezea kwenye kununua ndege.
Mkuu Mlimilwa, umenena. Niliwahi kuandika hapa kwamba mwaka huu kuna udanganyifu mkubwa umefanyika kupitia hili suala la mikopo ya wananfunzi. Ukitaka kufahamu hili, fuatilia kauli za serikali kuhusu sifa za wanaostahili kupata mikopo; zinabadilika kila baada ya muda fulani, maana yake ni kwamba serikali iliamua makusudi kutokuwa wazi ili wanafunzi/wazazi wengine wasihangaike kupoteza hizo sh 30,000/=(ni zaidi ya hizo kwakuwa kuna gharama zingine). Serikali imekusanya fedha kutoka familia maskini zinazopewa fedha za kujikimu na Tasaf, lakini inapiga danadana kuwapa mikopo watoto wanaotoka katika familia hizo hizo. Hii ni aibu kubwa kwa serikali!
 
Walichikifanya serkali mwaka huu,ni hivii!! Wamekusanya elf30 za waliiomba mkopo,ambao idadi yao inakadiliwa ni 88 elf,waliofanikiwa kupata ni elf20,kwahiyo wamechukua zilezile za walioombea mkopo,halafu wakachukua nusu yake wakawapa mkopo hao elf20,ile iliyobaki wameongezea kwenye kununua ndege.

Ha..!

Nikitaka kusaidia mwanafunzi wa chuo itabidi nimuulize
Ulichagua chama gani kijana??

Akisema Fisiem namwambia kaisome namba pale,
Afu asome vizuri lile jengo la Mikopo limeandikwaje!!?
 
Nimeangalia taarifa habari saa 2 ITV .Nimemuona mama mmoja akilalamika kwamba mwanawe amekosa mkopo wa kuendelea na masomo ya elimu ya juu ingawa alichagua kozi ya kipaumbele yaani ualim wa sayansi. Na kuna mwanafunzi kadiriki kusema wananchi waunde kamati ambayo itawezesha wananchi kuchangia ili wasaidiwe.

MY TAKE: Mimi mwenyewe ni mhanga katika hili nilichaguliwa kozi ya kipaumbele lkn mpaka sasa hv nill. Pia hiz kamati ni mbaya sana kwani zitachangisha na kuingia na pesa za michango yote mitini kama ilivyotokea kwenye kamati ya maafa kagera.
unataka tujadili nini hapo? o level umesoma Tusiime, advance umesoma fedha, leo chuo ada yenyewe 1.6mil. unatakq ulipiwe? no way, hata ukalalamikaje hatuwasikilizi watu kama nyie
 
unataka tujadili nini hapo? o level umesoma Tusiime, advance umesoma fedha, leo chuo ada yenyewe 1.6mil. unatakq ulipiwe? no way, hata ukalalamikaje hatuwasikilizi watu kama nyie
Cheki hz akili za kina Juma pumba mama anayelalamika kamsomesha mtoto wake kwa pesa ya tasaf wewe unasema kamsomesha tusime na fedha school. Hv nyie vichwani huwa mnajazwa madudu gani? Daaaah naisi una mtindio waubongo
 
Back
Top Bottom