Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 610
- 400
Ina sound goodShule ni mtego wa Umaskini...Wajanja wachache wameukwepa.
Na wanamaisha bora
Ina sound goodShule ni mtego wa Umaskini...Wajanja wachache wameukwepa.
Na wanamaisha bora
Siyo kweli. Sema tu kuwa elimu hii tangu tuletewe na wenyewe hatujajua malengo yake ni yapi. Sisi tumeigeuza kuwa nyenzo ya kutupatia utajiri wakati hilo siyo lengo lake mama. Mbona ilikotoka imeweza kuwakomboa? Sisi tunakwama wapi?
elim ya bongo kama huna konekisheni ni ushubwada mtupu, kuna jamaa yangu ana degree ya sheria kama wewe bt anacheza kamari tu kitaa
Mkuu Da'Vinci nakuunga mkono!
Tanzania elimu kama elimu kumsaidia mtu moja kwa moja kwa wakati huu hakuna hiko kitu maana hata akipata ajira mshahara wenyewe mdogo haukidhi mahitaji kumtoa mtu kwenye umasikini,kama upo uwezekano kukikwepa hiki kipengele kwenye maisha,bora muhusika afanye hivyo mapema.
Ndiyo elimu ni muhimu sana ila tukubali tukatae kwenye maisha asili na halisi ya Mtanzania haina tena msaada,maana bora nisisome then nikutane na kiboko cha maisha sitakuwa na cha kulaumu sana ila nitakaza kiubishi kupambana na uzembe wangu ila nimepoteza miaka minne ndani ya kuta nne kisha nirudi mtaani nikidhani kuna maisha nijikute ndani ya hali hiyo....huwezi kuwa sawa kiakili utachizika na wengi mtaani wapo ktk hali hiyo ni kwa vile wanajikaza tu!!!
Mwanangu mimi nina leseni C lakini kazi Sipati,... Kila kitu kina wakati wake broo hata mimi napitia changamoto.. Ila naamini One day yesmwanao akiwa anasoma sekondari, jitahidi ajifunze kimoja katika hivi kwenye muda wa ziada.
1. Motorvehicle mechanics.
2. Welding and fabrication.
3. fitter and turner.
4. jitahidi awe na leseni ya udereva na cheti cha
NIT.
5. Computer and cell technician.
6. Constr and mining equipment operator.
Pia huko shule ajifunze kuongea kiingereza kifupi kuwasiliana kwa kikristo, msidanganywe na wanasiasa muandae watoto kadili inavyofaa..
Mwanao akimaster kimoja kwenye hivyo hata amalize chuo kikuu atajua namna ya kuishi huku anaangalia mambo mengine..
Jamaa umenichekesha sana wewe... Daaaaahhhhh pole sanaMshauri vibarua vingine sio zege.
Nilikimbia saa 6 mchana .na hela nikasamehe.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Toa njia tuanze ndugudaa shida unataka kazi ya ajira, ingekuwa biashara kwa mtaji wa 50000, ungetosha mjini kupata ridhiki.
UsichekeJamaa umenichekesha sana wewe... Daaaaahhhhh pole sana
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Pole aseee, kweli zege lina wenyewe, nalijua vizuri sana, lataka moyo
lipo wapi na mimi niende?Pole aseee, kweli zege lina wenyewe, nalijua vizuri sana, lataka moyo
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Kweli connection ka huna unapata tabu Sana, Ila kikubwa ni kutokukata tamaa kunusa fursa mbalimbali na kujaribu mbona unatoka tu vizuri
Pole sana mkuu, usijate tamaa Mungu yupo utafanikiwa tu.Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 25,
Nimemaliza chuo mwaka jana na degree ya sheria kutoka Chuo Kikuu kimoja huko Arusha, lakini tangu nimalize chuo niliamua kuhamia Dar es Salaam na kujichanganya kwa vibiashara vya hapa na pale kama mnavyojua tatizo la ajira kwa sasa, kweli nimejaribu sana kuuza hiki na kile kama viatu, nguo, vyakula, ila kila ninachofanya kinafeli mahitaji yanazidi kipato, mpaka muda huu ninavyo andika hapa hata ule mtaji kidogo nao nimelipa kodi.
Nimeuza karibia assets zote nilizonunua kipindi nipo chuo, nimebaki na kitanda na godoro tu na jiko navyo kama maisha yataendelea kuwa hivi nitauza navo nirudi nyumbani tu
Sioni thamani yakusoma kabisa, najuta muda niliopoteza nisingeishi maisha mabaya kama haya, naomba mwenye connections ya kazi zifuatazo anisaidie japo nijiokoe nisiuze kitanda na godoro.
Vyeti vyote na ushahidi ninavyo.
- Usaidizi wa kwenye magari ya mzigo,
- Saidia fundi, kubeba zege,
- Viwandani,
- Pia hata udereva naweza ingawa sina leseni ila naweza uza simu nikaipata, nisaidieni ndugu zangu
Nawashukuru sana mungu awabariki ndugu zangu.
Hii post inasubiri kupitiwa na Moderators ili iende kwa umma! huku nako sio salama tenaMimi nikijana mwenye umri wa miaka 25,
Nimemaliza chuo mwaka jana na degree ya sheria kutoka Chuo Kikuu kimoja huko Arusha, lakini tangu nimalize chuo niliamua kuhamia Dar es Salaam na kujichanganya kwa vibiashara vya hapa na pale kama mnavyojua tatizo la ajira kwa sasa, kweli nimejaribu sana kuuza hiki na kile kama viatu, nguo, vyakula, ila kila ninachofanya kinafeli mahitaji yanazidi kipato, mpaka muda huu ninavyo andika hapa hata ule mtaji kidogo nao nimelipa kodi.
Nimeuza karibia assets zote nilizonunua kipindi nipo chuo, nimebaki na kitanda na godoro tu na jiko navyo kama maisha yataendelea kuwa hivi nitauza navo nirudi nyumbani tu
Sioni thamani yakusoma kabisa, najuta muda niliopoteza nisingeishi maisha mabaya kama haya, naomba mwenye connections ya kazi zifuatazo anisaidie japo nijiokoe nisiuze kitanda na godoro.
Vyeti vyote na ushahidi ninavyo.
- Usaidizi wa kwenye magari ya mzigo,
- Saidia fundi, kubeba zege,
- Viwandani,
- Pia hata udereva naweza ingawa sina leseni ila naweza uza simu nikaipata, nisaidieni ndugu zangu
Nawashukuru sana mungu awabariki ndugu zangu.
Uko sahihi na unategemea connection Napo ku feli nje nje maana utabwetekaKanuni ni moja kama hauna connection kuwa na ADABU utatoboa tu
Jamaa umenichekesha sana wewe... Daaaaahhhhh pole sana
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
wapi wanabeba na mimi nikabebeZege noma.
Ukimuona mtu anabeba zege muheshimu