Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,868
We unaamini anachimba ndo anakuja kutangaza kaokota.Laizer ameotea mkanda au mwamba wa yale madini sasa hivi anajimegea tuHivi Mzee ni kweli anayo ndani anamega kidogo kidogo tu
We unaamini anachimba ndo anakuja kutangaza kaokota.Laizer ameotea mkanda au mwamba wa yale madini sasa hivi anajimegea tuHivi Mzee ni kweli anayo ndani anamega kidogo kidogo tu
Nitaajiri mafundiahahah Una kifua cha kucharanga mbao?
Tutajie Jina la hiyo Shule pls, Kwakweli huo Ni mfumo bora wa kuigwa na shule nyengineUko sahihi. Nimepeleka mtoto shule fulani. Wanafunzi wote wanatakiwa waondoke angalau na ufundi stadi wa aina fulani. Ukizembea unakamatwa hata ukipata A zote masomo ya darasani. Huyu wa kwangu kaamua kujifunza kuwa dentist assistant na tayari anakwenda kufanya interns huko kwenye maofisi ya madentist na wengine wanamlipa. Jirani yangu hapa mtoto wake amejifunza ufundi magari. Wamefundishwa oil change, brake system na matatizo mengine ya juu juu. Ameongezea na welding. Wengine wanajifunza ufundi umeme. Vyote mkazo ni practicals. Nimependa sana utaratibu huu. Wakati wa kukaririshana nadharia peke yake umepitwa na wakati...
Mkuu,kama ukweli umehitimu sheria na huna tatizo lingine zaidi ya hilo PMMimi nikijana mwenye umri wa miaka 25,
Nimemaliza chuo mwaka jana na degree ya sheria kutoka Chuo Kikuu kimoja huko Arusha, lakini tangu nimalize chuo niliamua kuhamia Dar es Salaam na kujichanganya kwa vibiashara vya hapa na pale kama mnavyojua tatizo la ajira kwa sasa, kweli nimejaribu sana kuuza hiki na kile kama viatu, nguo, vyakula, ila kila ninachofanya kinafeli mahitaji yanazidi kipato, mpaka muda huu ninavyo andika hapa hata ule mtaji kidogo nao nimelipa kodi.
Nimeuza karibia assets zote nilizonunua kipindi nipo chuo, nimebaki na kitanda na godoro tu na jiko navyo kama maisha yataendelea kuwa hivi nitauza navo nirudi nyumbani tu
Sioni thamani yakusoma kabisa, najuta muda niliopoteza nisingeishi maisha mabaya kama haya, naomba mwenye connections ya kazi zifuatazo anisaidie japo nijiokoe nisiuze kitanda na godoro.
- Usaidizi wa kwenye magari ya mzigo,
- Saidia fundi, kubeba zege,
- Viwandani,
- Pia hata udereva naweza ingawa sina leseni ila naweza uza simu nikaipata, nisaidieni ndugu zangu
Vyeti vyote na ushahidi ninavyo.
Nawashukuru sana mungu awabariki ndugu zangu.
Shule gani hiyo?Uko sahihi. Nimepeleka mtoto shule fulani. Wanafunzi wote wanatakiwa waondoke angalau na ufundi stadi wa aina fulani. Ukizembea unakamatwa hata ukipata A zote masomo ya darasani. Huyu wa kwangu kaamua kujifunza kuwa dentist assistant na tayari anakwenda kufanya interns huko kwenye maofisi ya madentist na wengine wanamlipa. Jirani yangu hapa mtoto wake amejifunza ufundi magari. Wamefundishwa oil change, brake system na matatizo mengine ya juu juu. Ameongezea na welding. Wengine wanajifunza ufundi umeme. Vyote mkazo ni practicals. Nimependa sana utaratibu huu. Wakati wa kukaririshana nadharia peke yake umepitwa na wakati...
Wasiojifahamu wanapata tabu sanaElimu ya bongo ni kukremu tu hakuna kitu...na shida ndo inapoanzia hapo
Graduates wanapata tabu sana aisee
Mimi niko tayari mkuu nashindwa kukutumia message pmKAMA upoteyari kufanya kazi ya ulinzi kwa mshahara kuanzia 250k....usisite kunitafuta...
kama wewe ni mrefu....Mimi niko tayari mkuu nashindwa kukutumia message pm
Niko mwanzakama wewe ni mrefu....
unavyo vyeti halali, kuanzia cha darasa la 7 na kuendelea.
una kitambulisho cha nida ama namba ya nida.
una cheti cha kuzaliwa
na una miaka kuanzia 24..
njoo pale mikocheni kwa mwinyi...ulizia zilipo ofisi za GARDAworld...
UNAVYO VIGEZO nilivyo kuandikia hapo juu....??Niko mwanza
NakaziagaaShule ni mtego wa Umaskini...Wajanja wachache wameukwepa.
Na wanamaisha bora
NdioUNAVYO VIGEZO nilivyo kuandikia hapo juu....??
Jitahidi kesho saa 1...asubuhi ufike mikocehni kwa mwinyi.....ukiwa na viambata vyote nilivyo kutajia hapo juu....original...kisha maelekezo mengine yatatolewa baada ya kukaguliwa vyetiNdio
Shule gani mkuu
Tutajie Jina la hiyo Shule pls, Kwakweli huo Ni mfumo bora wa kuigwa na shule nyengine
Shule gani hiyo?
Nipeleke vijana wangu ...
Shule haiko Tanzania wakuuhii ni hapahapa Tanzania?
Zinga la pointMimi nasemaga siku zote, Kazi za ufundi ni nzuri jamani. Jifunzeni ufundi jamani
Shule gani hiyo mkuu?Uko sahihi. Nimepeleka mtoto shule fulani. Wanafunzi wote wanatakiwa waondoke angalau na ufundi stadi wa aina fulani. Ukizembea unakamatwa hata ukipata A zote masomo ya darasani. Huyu wa kwangu kaamua kujifunza kuwa dentist assistant na tayari anakwenda kufanya interns huko kwenye maofisi ya madentist na wengine wanamlipa. Jirani yangu hapa mtoto wake amejifunza ufundi magari. Wamefundishwa oil change, brake system na matatizo mengine ya juu juu. Ameongezea na welding. Wengine wanajifunza ufundi umeme. Vyote mkazo ni practicals. Nimependa sana utaratibu huu. Wakati wa kukaririshana nadharia peke yake umepitwa na wakati...
Akikujibu niambieShule gani hiyo mkuu?