badala ya kutoa msaada unabaki kujisifia, pumbavu sanaPole sana najiona mimi anyway kaza kwa sababu hata mimi nilipitia hayo ila leo nilipo ni patamu ila siwezi kupasema ila nakula maisha hata mida hii ya Corona
Huko uliko kuna Corona ?Pole sana najiona mimi anyway kaza kwa sababu hata mimi nilipitia hayo ila leo nilipo ni patamu ila siwezi kupasema ila nakula maisha hata mida hii ya Corona
Da vinci wa jf can act stupid sometimes.Watu mnaokwepa shule mnatafuta vijisababu vya kujihalalihia Hali hiyo.
Uko sahihi. Nimepeleka mtoto shule fulani. Wanafunzi wote wanatakiwa waondoke angalau na ufundi stadi wa aina fulani. Ukizembea unakamatwa hata ukipata A zote masomo ya darasani. Huyu wa kwangu kaamua kujifunza kuwa dentist assistant na tayari anakwenda kufanya interns huko kwenye maofisi ya madentist na wengine wanamlipa. Jirani yangu hapa mtoto wake amejifunza ufundi magari. Wamefundishwa oil change, brake system na matatizo mengine ya juu juu. Ameongezea na welding. Wengine wanajifunza ufundi umeme. Vyote mkazo ni practicals. Nimependa sana utaratibu huu. Wakati wa kukaririshana nadharia peke yake umepitwa na wakati...
badala ya kutoa msaada unabaki kujisifia, pumbavu sanaPole sana najiona mimi anyway kaza kwa sababu hata mimi nilipitia hayo ila leo nilipo ni patamu ila siwezi kupasema ila nakula maisha hata mida hii ya Corona
hivyo vyote ni mlengwa uleule wa kuomba ajira au kujiajiri locally...nafiri kumuwekea akiba mtoto ndio akiri skills zingine atajifuanza mwenyewe ila huku akiwa na pesa ya kujifunza bila stress na kugharamia kila kinachotakiwa.mwanao akiwa anasoma sekondari, jitahidi ajifunze kimoja katika hivi kwenye muda wa ziada.
1. Motorvehicle mechanics.
2. Welding and fabrication.
3. fitter and turner.
4. jitahidi awe na leseni ya udereva na cheti cha
NIT.
5. Computer and cell technician.
6. Constr and mining equipment operator.
Pia huko shule ajifunze kuongea kiingereza kifupi kuwasiliana kwa kikristo, msidanganywe na wanasiasa muandae watoto kadili inavyofaa..
Mwanao akimaster kimoja kwenye hivyo hata amalize chuo kikuu atajua namna ya kuishi huku anaangalia mambo mengine..
Umomi hajapotea mkuu..alikua anacheza movieUnamkosea heshima huyo mzee wa kwenye avatar yako, kijana anapambana katika kujiajiri yet unaleta kebehi, unataka aibe sasa? Hivi hivi Umomi alipotea kwa kauli kama hizi
Hua napenda kusikia shuhuda Kama hizi.zinatia Sana moyo...hongera mkuuPole sana najiona mimi anyway kaza kwa sababu hata mimi nilipitia hayo ila leo nilipo ni patamu ila siwezi kupasema ila nakula maisha hata mida hii ya Corona
Mpe hata moja!Komaa ndugu, dar connections nyingi, kuliko mkoa
Matatizo huwa nayatafsiri kama ni tuition Mungu ananifunza kitu.Hua napenda kusikia shuhuda Kama hizi.zinatia Sana moyo...hongera mkuu
Yes...ishu ni kusolve tu..nakuelewa sanaMatatizo huwa nayatafsiri kama ni tuition Mungu ananifunza kitu.
Sa sheria asipoakiriwa na serikali lazima aajiriwe na legal firms kujiajiri kwa muhuri nao siku hizi ni pasua kichwa sana