Wanajamii hii inawahusu.

Wanajamii hii inawahusu.

Djunior

Member
Joined
Sep 28, 2010
Posts
45
Reaction score
1
Hi, wanajamii.
Nimekuwa nikifikiria kwa siku nyingi, tokea Mwl. J.K.Nyerere atutoke, Mwl aliiacha nchi ikiwa na neema na upendo, hakuna ukabila wala ubaguzi. Kwanini sasa uharibifu unatokea kila kona? Je ndio kusema Mwl ameondoka na yake kwa nini basi viongozi wa leo wanadai wanayaendeleza aliyoyaacha Mwl. Tanzania ya leo sio ile ya Mwl.
 
Umeingia lini humu kwanza!!?!!Jitahidi kwenda na kasi ya kusoma hoja zinazotolewa humu... maswali yako mengi yatapata majibu!
 
Back
Top Bottom