pole sana ndugu,inawezekana pumba zilizidi.Nitapata tabu sana kwa hali hii, hata ninapohitaji kutiwa moyo, hamasa na ushauri juu ya jambo fulani, naishiwa kutazamwa tu
Hakika nimeumaliza mwendo
Nasubiri maoni:
Asikuzibie ridhiki uwongo?, Ila mi natafuta mke niombeeWe mwehu sina mume humu
Nishakuombea sema AminaAsikuzibie ridhiki uwongo?, Ila mi natafuta mke niombee