Wanahitajika watu wa mauzo

Wanahitajika watu wa mauzo

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,339
Reaction score
1,493
Wanahitajika vijana wa kike (7) na wakiume (3) kwa ajili ya kuuza matunda na mboga mboga kwenye maofisi mbalimbali.
Sifa
1. Uwe mzuri kimuonekano.
2. Uwe unajua kujieleza.
3. Ujue kuvaa na kupendeza.
Majuku: Kufanya mauzo ya bidhaa (matunda na mboga mboga) maofisini.
Malipo: Kutwa.
Ofisi: N/A
Mahali pa kazi: Dar es Salaam.
Tarehe ya kazi: 11/02/2019.
Aliye tayari na mwenye uhitaji aje PM.
Vigezo na masharti kuzingatiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sawa sawa na biashara ya vijana kutembeza kahawa iliyopikwa vijiweni
 
Back
Top Bottom