Gezuz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 1,010
- 1,353
Mkuu nilikuwepo kipindi hicho na kilichofanyika pale ni kasumba ya sisi watu weusi kudhulumiana.Niliwahi kufanya kibarua wakati wa ujenzi Udom aisee per day ilikiwa 3000
Chakula nauli chai maji utajua wewe
Nilifanya siku moja tu
Malipo halali kwa kibarua ilikuwa ni elfu 7 kwa maelekezo ya mkandarasi na serikali lakini kwakuwa tumezoea kufanyana fursa wajanja wakaanza kutulipa nusu ya kile tulichostahili.
Ila mwisho wa siku issue ilibumbuluka na wakapandisha mshiko,hata hawa huyo mwekezaji lazima atakuwa katoa fungu kubwa ila kwa kuwa wabongo janjajanga mingi na wabajua ufukara wa wabongo wenzao wanawapiga kama hivyo.