britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,644
- 30,007
Kuna watu wamejijengea heshima Kwa Miaka mingi ila Kwa sasa wamekuwa wa kupuuzwa!
Mara tatu Samia anataka kujiuzulu mwaka 2017 tarehe 6 June aliandika barua kwenye Suala linahusu kukaripiwa Kama mtoto Mdogo ndani ya korido za ikulu akatishwa kwamba yatakayo mtokea yanaweza kuwa mabaya zaidi,
Mwaka 2017 mwezi wa 11 alipotoka Nairobi yeye alitishwa sana kusema nimetumwa na Rais kumuona Lissu
Mwaka 2019 Tarehe 3 mwezi wa 10 barua ya kutaka kujiuzulu Ali yang’anywa na Mama makinda kwamba avumilie hii ilihusu Suala la bei ya mafuta wakitofautiana na Magufuli
Leo anasema ukweli kuna wale wanaharakati uchwara leo wanaona Samia amekosea kusema ilikuwa vigumu kufanya na Magufuli?
Kale ka Magoti ka kigamboni kametumwa kumwekea Sumu Mangula baada ya kushauri mwenendo wa Magufuli leo mna Ona ni wa kutetewa???
Britanicca
Mara tatu Samia anataka kujiuzulu mwaka 2017 tarehe 6 June aliandika barua kwenye Suala linahusu kukaripiwa Kama mtoto Mdogo ndani ya korido za ikulu akatishwa kwamba yatakayo mtokea yanaweza kuwa mabaya zaidi,
Mwaka 2017 mwezi wa 11 alipotoka Nairobi yeye alitishwa sana kusema nimetumwa na Rais kumuona Lissu
Mwaka 2019 Tarehe 3 mwezi wa 10 barua ya kutaka kujiuzulu Ali yang’anywa na Mama makinda kwamba avumilie hii ilihusu Suala la bei ya mafuta wakitofautiana na Magufuli
Leo anasema ukweli kuna wale wanaharakati uchwara leo wanaona Samia amekosea kusema ilikuwa vigumu kufanya na Magufuli?
Kale ka Magoti ka kigamboni kametumwa kumwekea Sumu Mangula baada ya kushauri mwenendo wa Magufuli leo mna Ona ni wa kutetewa???
Britanicca