Wanaharakati wamkumbuka JK, uwakilishi wa wanawake washuka toka 38%-JK hadi 19%-JPM

Tume ya Katiba

JF-Expert Member
Apr 6, 2012
4,896
1,862
Mwenyekiti wa bodi ya TGNP vicencia shule alitoa takwimu hizo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumalizika siku tatu ya mafunzo kwa wanawake juu ya kutumia takwimu kueleza mafanikio, changamoto na kupaza sauti zao.

Alieleza kuwa uwakilishi wa wanawake katika ngazi za maamuzi serikalini ullikuwa 38% katika kipindi cha JK, JPM alipoingia ulishuka hadi 20 kufikia dec 2016, na hadi march 2017 umeshuka zaidi na kufikia 19%.

source: Ippmedia
Wanaharakati wamkumbuka JK

Maoni yangu:
Kwa trend hii ya 1% kwa miezi 3, then kwa miezi 45 iliyobaki kufikia mwisho wa utawala wa JPM uwakilishi wa wanawake utakuwa 4%.

Mimi tume ya katiba katika hili namuunga mkono JPM.
 
Bahati nzuri hakuna anayepiga kelele kipindi hiki. Kelele tutazisikia akitokea Rais anayetoka kwenye dini ile ya waarabu
 
wanawake wa Tanzania wanapenda sana dezo na kuonewa huruma.Hawa ndio wanakuza huo unaoitwa mfumo dume
 
Hayo mambo ya hovyo hovyo ndo yalitufanya tusiendelee sasa leo mnayakumbushia ili iweje? Wanawake wakaolewe kwani ndo ajira yao ya kwanza, mengineyo ni nyongeza kwao

Hata mie ningewatoa mpaka ikabaki 0.000%
 
Duh! Ajira no1.ya mwanamke ni ndoa na wale wasioolewa maana yake hawana ajira.Hii kali kwakweli.
 
Bahati nzuri hakuna anayepiga kelele kipindi hiki. Kelele tutazisikia akitokea Rais anayetoka kwenye dini ile ya waarabu
Vichwa vyenu vinawaza udini tu, mkishindwa kutatua matatizo mnakimbilia dini
 
Mwenyekiti wa bodi ya TGNP vicencia shule alitoa takwimu hizo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumalizika siku tatu ya mafunzo kwa wanawake juu ya kutumia takwimu kueleza mafanikio, changamoto na kupaza sauti zao. Alieleza kuwa uwakilishi wa wanawake katika ngazi za maamuzi serikalini ullikuwa 38% katika kipindi cha JK, JPM alipoingia ulishuka hadi 20 kufikia dec 2016, na hadi march 2017 umeshuka zaidi na kufikia 19%.

source: Ippmedia
Wanaharakati wamkumbuka JK

Maoni yangu:
Kwa trend hii ya 1% kwa miezi 3, then kwa miezi 45 iliyobaki kufikia mwisho wa utawala wa JPM uwakilishi wa wanawake utakuwa 4%.

Mimi tume ya katiba katika hili namuunga mkono JPM.
jk aliwabeba wanawake kama mapakacha baadhi yao wakiwa washikaji zake. focus iwe kuwa enpower wanawake sio kuwapendelea kwenye nafasi wakati hawana uwezo.
 
Hayo mambo ya hovyo hovyo ndo yalitufanya tusiendelee sasa leo mnayakumbushia ili iweje? Wanawake wakaolewe kwani ndo ajira yao ya kwanza, mengineyo ni nyongeza kwao

Hata mie ningewatoa mpaka ikabaki 0.000%
Ikiwa mwanamke kuolewa ndio ajira yake basi waoaji ni waajiri...Inawezekana ndio maana takwimu za serikali zinaonyesha Ajira zinaongezeka
 
Walizoea kubebwa..not any more...hutapewa nafasi kwasababu ni mwanamke..utapewa nafasi sababu unaimudu
 
Back
Top Bottom