Wanaharakati waliokamatwa waachiwa

Wanaharakati waliokamatwa waachiwa

good move; naona nchi inaanza kuchangamka sasa... with time mambo yatanyooka tu
 
Niliposikia wameandamana nilijua kuwa waliandamana kuwashinikiza madaktari waingie kazini, kumbe walikuwa wanatimiza uanaharakati wao.
 
hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee tumethubutu , tumeweza tunaleta mabadilikoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Kwa kutoka 10,000/= hadi 25,000/=. sawa lakini hata hiyo inafaa tu.
 
Ni habari njema na tunaona sasa kuwa nguvu ya umma imeanza kufanya kazi.
 
hao wanaharakati nao waache kudandia gari kwa mbele, wanavizia wakati madaktari wamekomaa na kupata mafanikio nao eti wanataka waonekane wameshiriki? walikuwa wapi tangu kunji linaanza zaidi ya mwezi uliopita? siasa za opportunism!
 
hureeeeeeeee tumethubutu, tumeweza tunaleta mabadiliko![/QUOTE]

hii kaulimbinu nzuri sana mchaga25... inafaa kuwa adopted na JF - you never know, unaweza kula hela kidogo ya ubunifu
 
Safi,na muda si mrefu tutaandamana khs kupanda kwa gharama za maisha
 
Kwa hilo sinabudi kuipongeza serikali kwa kutumia busara, kwani kuendelea
kuwashikilia wanaharakati ingeamsha wanaharakati uchwara kibao na wangewakuta
mtaani na mabango ya kushininkiza kuwatoa hao wanaharakati original
 
yaani walikuwa wamewakamata hadi sasa hivi ? lol...laana hiv i ndio maana watoto wao wanazunguka kwenye mitihani ya taifa
 
hao wanaharakati nao waache kudandia gari kwa mbele, wanavizia wakati madaktari wamekomaa na kupata mafanikio nao eti wanataka waonekane wameshiriki? walikuwa wapi tangu kunji linaanza zaidi ya mwezi uliopita? siasa za opportunism!


Wewe ni Kilaza bin Kihiyo ! Mwezi upi huo unaousemea? Kunji was less than three weeks
 
Jamani wakaka naombeni tujadili hoja sio kun inbox mia anaume yenyewe mijoga hata maandamano haishiriki hehehehehe. I am serious don't inbox me bad stuff
 
Jamani wakaka naombeni tujadili hoja sio kun inbox mia anaume yenyewe mijoga hata maandamano haishiriki hehehehehe. I am serious don't inbox me bad stuff

mmh, avatar inaweza kuwa inachangia labda
 
Wewe kakalende naona hauko makini kufuatilia taarifa, takribani wiki tatu wanaharakati wamefanya kazi kubwa sana kwa kuongea na madaktari, serikali na kutoa matamko mbalimbali kuishinikiza serikali kuwasikiliza madaktari na kuwapa wanachokitaka, juzi wameandamana na kuipa serikali masaa kadhaa ichukue hatua lasivyo watahamasisha watanzania wote kuandamna kesho yake yani jana serikali imechukua hatua madaktari wamerudi, kama wao waliandamana wewe unadai wamedandia, hebu tueleze wewe umefanya nini kuhakikisha madaktari wanarudi, wapuuzi kama nyinyi mnaishia kuropoka na kuponda hata kile kidogo kinachofanywa na wenzenu kusaidia wanyonge huku mkishidwa kuchukua hatua yoyote, ni lazima tuwapongeze wale wote waliosimama kutetea madaktari naona wewe umetumwa na mzee wa upako
 
mbona tutafika tu,baada ya madaktari sasa tunafuata vijana maisha yako juu mno na watu ajira hamna,hizo za kujiajiri bila hata mtaji wapi nawapi,na ole wake kijana ambae hatashiriki.Kwa hapa mwanza tutakaa pale stendi ya zamani(tahirir square)mpaka bei ya vitu ishushwe.mda na ni lini mta be updated.so stay tuned
 
Back
Top Bottom