Wanafunzi wanalia njaa vyuoni, "No Boom"

Wanafunzi wanalia njaa vyuoni, "No Boom"

Asingeandika masuala ya MCC ningemuona wa maana. Kumbe hata vyuoni kuna nyumbu wametapakaa huko?
usishangae sana Mkuu hilo ni zao la distinknseni za sekondari, ni balaa mkuu wapo wengi sana hadi humu janvini wamo,tena nao wanajiita ni maGT, yaan ni shidaaah
 
Boom lenyewe wakipewa wanalimaliza siku moja tu maana wengine watMtafutA salama au eggy
Ukipita bar za calabash wamejaa tu wanatumbuaaa
hawana nidhamu ya pesa hao mkuu, pia ulimbukeni umewajaa kuanzia unyayoni hadi utosini.
 
Vyuo vimefunguliwa j4 leo unalalamika boom si ungebaki nyumbani sasa
 
Ahaa! ndio maana malaya wakita wamepoa wala hawana shobo, kumbe bado hawaja daka mkwanja , basi Ngoja tujipigie.
 
SAUT-mtwara tushasign tangu j5, mleta uzi acha siasa, hela za mcc ni za umeme tena bajeti ijayo, pia tambua kuwa hyo hela ya mcc ambazo n tr1.02 huwez fananisha na mapato yetu kwa mwezi ambayo n wastani wa tr1.4. tuache siasa TANZANIA ni yetu.
Duuh na wewe upo chuo kweli eeh?
Kwa hiyo kama mapato ya kodi ni 1.4T na noti za MCC ni 1.2T unadhani serikali itachukua hayo mapato yoote ipeleke kwenye umeme au? Na ikishapeleka huko wafanyakazi woote nani atawalipa mshahara?
Unasomea nini huko chuo?
 
SAUT-mtwara tushasign tangu j5, mleta uzi acha siasa, hela za mcc ni za umeme tena bajeti ijayo, pia tambua kuwa hyo hela ya mcc ambazo n tr1.02 huwez fananisha na mapato yetu kwa mwezi ambayo n wastani wa tr1.4. tuache siasa TANZANIA ni yetu.
Duuuuuuu vyuo vingine inahitaj moyo kwenda kuchimba degree yako
 
unapotoka kwenu jifunze kuja na pesa kiasi sio kulia lia hapa unafikili serikali inafikiria wanafunz tu?kuna mambo mengi kuwa mvumilivu!!
Za USO hizo, akipata familia atakuwa anawata hela ya den alishe familia
 
Back
Top Bottom