Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya umma vya afya na sayansi shirikishi kwa mwaka wa masomo 2020/2021

hivi inamaanisha mtu akiomba MD muhas mda huu hawezi pata ?
Bado sijaelewa
 
Anapata, Mapema sana.
 
kwa mtu yoyote anayetaka kusoma excellent collage of health iliyopo dar es salama kwa ngazi ya cetfcat au diplom ani pm kwa muongozo...
 
Mkuu, habari yako! Angalia PM yako.
 
Naombeni list ya vyuo vya private vya uhakika vinavyotoa Clinical Medicine sehemu yoyote Tanzania lakini visiwe vya bei ghali sana, isizidi 1.8M
Ikitokea akaweza kumudu 2.9M aende Tanzanian Training Centre For International Health Ifakara.Ni chuo kizuri mno kwa clinical medicine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…