Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,485
- 2,752
habar wakuu,nipo hapa chuon mkuu wa chuo amepiga marufuku kwa mwanafunz kugombea nafas yyte kweny uchaguz mkuu wa mwaka huu LA sivyo aahairishe masomo yake! je hii ni mbinu inayotumiw na ccm ili kuidhofisha upinzan?