Kiboko Yenu
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 311
- 65
leo wanafunzi wa chuo kikuuu cha dodoma wanaounda organization inayojulikana kama udom chamber leo wametoa msaada wa vifaa vya usafi na mazingira katika shule ya sekondari viwahttp://issamichuzi.blogspot.com/2012/03/wanafunzi-wa-udom-wafanya-ziara-katika.htmlndani iliyopo mjini dodoma pia walipata nafasi ya kuzungumza na wanafunzi kuhusu umuhimu wa mazingira
kwa habari zaidi bofya hapa
MICHUZI: WANAFUNZI WA UDOM WAFANYA ZIARA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA VIWANDANI ILIYOPO DODOMA MJINI NA KUKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA USAFI LEO
kwa habari zaidi bofya hapa
MICHUZI: WANAFUNZI WA UDOM WAFANYA ZIARA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA VIWANDANI ILIYOPO DODOMA MJINI NA KUKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA USAFI LEO