Ryio
Member
- Dec 5, 2013
- 80
- 11
- Thread starter
- #21
Waende mjengoni kabisaaa, watu wanapiga zaidi ya 150000 per day hapo afu wao wanapiga miayo
tunamsubiri mh. waziri mkuu na yametolewa masaa kadhaa, baada ya hapo asipokuja tutaelekea mjengoni leo hii.
lazima kieleweke leo maana viongozi wanajisahau sana,so ni vyema tuwakumbushe majukumu yao.