Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Mamia ya wanafunzi wa kike wametekwa nyara katika jimbo la Kaskazini-magharibi la Zamfara, BBC imeelezwa.
Mwalimu amesema takribani wanafunzi 300 wamechukuliwa wakati wa shambulilio la siku ya Ijumaa majira ya asubuhi.
Msemaji wa gavana wa jimbo amethibitisha kutokea kwa shambulio lakini hakutoa taarifa zaidi.
Hili ni tukio la karibuni la utekaji unaowahusisha watu wengi, unaolenga shule katika majuma ya hivi karibuni.
Watu wenye silaha huwateka wasichana wa shule kwa ajili ya kupata fedha.
Mwalimu amesema takribani wanafunzi 300 wamechukuliwa wakati wa shambulilio la siku ya Ijumaa majira ya asubuhi.
Msemaji wa gavana wa jimbo amethibitisha kutokea kwa shambulio lakini hakutoa taarifa zaidi.
Hili ni tukio la karibuni la utekaji unaowahusisha watu wengi, unaolenga shule katika majuma ya hivi karibuni.
Watu wenye silaha huwateka wasichana wa shule kwa ajili ya kupata fedha.