Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
pia kingine nlipofka pale heslb nikamuulza m2 m1 akaniambia asikuambie m2 kuhusu hcho k2 kwa kweli wewe unadhani kuwa hawa serikali 2 wenyew wanambwela 2 ktk mikopo sembuse hao wa m2 binafsi mana hawa serikali ni zaid ya hyo ngo ila bado complain kibao mkopo ni serikali 2 ndo inaweza ku handle ingawa nayo ina madhaifu yk ila atleast hao mana wana take risk wa2 wng wanakufa wakimalza kusoma 2 wngne wanakuwa viwete wngne ajira no na mambo mng 2 xaxa unadhani hao ngo watakuwa poa 2 na ngangali kwa hayo yte mmmhh nkaishiwa pozi
kwa hyo hapo unataka kutuambia nin mkuu?